shikamkono01
JF-Expert Member
- Mar 26, 2016
- 685
- 2,055
Katumalizie july 5 kule kaka comment utazikuta tu mwambaNaweka kambi , kusoma comment za wadau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katumalizie july 5 kule kaka comment utazikuta tu mwambaNaweka kambi , kusoma comment za wadau
Naam nitafanya hivyo mkuu vuta subira[emoji108][emoji108]Katumalizie july 5 kule kaka comment utazikuta tu mwamba
Kweli inaumiza..Ndo maana nikasema hii kitu inaweza kukutengenezea Trauma, kuhusu hio sector ya ndoa nmekata tamaa kiukweli, just imagine huo ukimya anakufanyia mwanamke ambae mmeweka nae commitment ya maisha yaan ndoa, huoni tabu hapo? Huwezi ku-undo
of course, now I just rock and roll, maisha sijayakatia tamaa bali ndoa na mahusiano marefu ndo nmeyakatia tamaaKweli inaumiza..
Sahihi pia, ndoa sio lazima...
Ila badilisha mtazamo kuhusu Mapenzi..
Kumbuka Mapenzi sio kiini cha kila kitu kwenye maisha. Maisha ni zaidi ya Mapenzi.
Huwa mwongoMbona kama story za iddi makengo [emoji848]
Inategemea na roho ya mtu,kuna wengine ukibeep tunapokea...mimi ilinitokea nkaongea nae akawa bdo analeta mapozi,huwa namuomba mungu asinipe stress za mapenzi kwenye maisha yangu..kilichofuata mpka leo yeye ndio ananitafuta mimi huo mda sinaSi mnajifanyaga vidume nyie, mara mwanamke mmoja hatoshi[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ila kumbuka mwanamke mmoja anatosha kukuua Kwa stress.
Na ukiona mwanamke Yuko kimya kwako, ujue kuna mwenzako anayeongea nae na anamsikiliza.....hatujaumbwa kuwa kimya...mwanamke ni makelele[emoji1787]
Kama kijana hayo sio maisha you are just ruining yourself....you will realize this at the end of the tunnelSio wake, ni wachumba/wazazi wenzangu. Hapo kuna barmaids kila nikipiga gambe
Najaribu kuvaa kiatu chako,unalipia Kodi wanawake wawili plus matumizi bado unachapiwa huko yaani kuna mwanaume hapo Katikati unamlisha kwa jasho lako unajibana kulipia Kodi Una mawazo ya kutoa matumizi unashindwa Ku take care of yourself firstMkuu sipingani na wewe lkn ni rahisi sana kujudge situation ambayo hujapitia.
Ndo maana waloimba "wanaume tumeumbwa mateso" hawakukosea, lkn hapo mmoja anakaa kwangu, nna cctv labda agongewe kwengine ila sio kwangu. Huyo nnaelipia kodi napo sio kila mwezi, na hio ni sabb anakaa na mtoto wangu. Matumizi ya kawaida tu kwa mwanaume yyt mpambanajiNajaribu kuvaa kiatu chako,unalipia Kodi wanawake wawili plus matumizi bado unachapiwa huko yaani kuna mwanaume hapo Katikati unamlisha kwa jasho lako unajibana kulipia Kodi Una mawazo ya kutoa matumizi unashindwa Ku take care of yourself first
Okay, at the end let's agree bado Kati ya hao wawili umewekeza hisia zako same as married men like me, you are worried like us we all bear the same burden hahahNdo maana waloimba "wanaume tumeumbwa mateso" hawakukosea, lkn hapo mmoja anakaa kwangu, nna cctv labda agongewe kwengine ila sio kwangu. Huyo nnaelipia kodi napo sio kila mwezi, na hio ni sabb anakaa na mtoto wangu. Matumizi ya kawaida tu kwa mwanaume yyt mpambanaji
Sure....Mimi nikiwaga kimya mume wangu anaanza kusikiliza gospel na kuleta mizawadi mara Kwa mara,,,maana Huwa naongeaga non-stop.....so anajuaha Hadi ninayoyawaza na ambayo ninataka kuyafanya....Ewaaaaa...ukiona mwanamke Hana kelele ogopa sana