Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wanajichetuaga tu ila kelele zetu wanazipenda sanaaa.Si mnajifanyaga vidume nyie, mara mwanamke mmoja hatoshi🤣🤣🤣 Ila kumbuka mwanamke mmoja anatosha kukuua Kwa stress.
Na ukiona mwanamke Yuko kimya kwako, ujue kuna mwenzako anayeongea nae na anamsikiliza.....hatujaumbwa kuwa kimya...mwanamke ni makelele🤣
Sasa Mikasa Duniani inaishaga??Mbona kama story za iddi makengo [emoji848]
Sasa umechanganyikiwa my young brother Cha msingi usipoteze kesho yako yenye watoto Bora toka family Bora kwa kujiumiza unaposema unawapanga Hawa viumbe ni kweli but vp watu wote Duniani wangefanya hivyo wazazi wako je?? Ukisimuliwa visa vya wengine na Leo wametulia na ndoa au mahusiano utaacha your ill mentality.StopMkuu ndo hivo, yaani kwa sasa ninavyowapanga hawa viumbe, na baadhi wanajuana ila hawana budi
Duu UDSM mpaka Counter za Bar au unatuongopea kwa jili una wivu Naye.Mtafute myajengee mbona Kama wote yamewakutaHuyu Vee ndo nadhan anaishi kwa raha sana sababu mme wake namjua na ni mwanamke smart sana.
Lkn Dee, yule wa kwanza hivi ninavyoongea ni counter wa bar fulan hapo sinza, ni single maza, bado ni mkali kiasi ila analika tu, nadhan ni curse ya kuumiza moyo wangu
Na je vp yule Demu mkali wa NGo ulimwacha tu je aliolewa?Huyu Vee ndo nadhan anaishi kwa raha sana sababu mme wake namjua na ni mwanamke smart sana.
Lkn Dee, yule wa kwanza hivi ninavyoongea ni counter wa bar fulan hapo sinza, ni single maza, bado ni mkali kiasi ila analika tu, nadhan ni curse ya kuumiza moyo wangu
We jifanye wazazi miezi 6 ndani majirani wakiona ni ndoa ya serikali wanatambua na mtoto mrithi wako We jidanganye huyo Dada ndo umemuona tiyaleeeSio wake, ni wachumba/wazazi wenzangu. Hapo kuna barmaids kila nikipiga gambe
Alikuwa hakupendi. Miaka mitatu mnafanya ufuska tu mlishindwa nini kuoana, kama upendo wa dhati upo mngefunga ndoa no matter what,Hujawahi kupata upendo wa mwanamke wewe, ukiupata ule wenyewe hutotaka upotee hivihivi, wenzako wanahonga hadi nyumba sababu mwanamke ni dhaifu ila udhaifu wa mwanaume ni mwanamke, na hapo ndipo Mungu aliweka fumbo.
Sikutaka kupoteza kirahisi upendo alonipatia yule binti, na kama asingeolewa ningekuwa tyr kumsubiri zaidi.
Upendo wenyewe wenyewe wa mwanamke ni Pepo tosha hapa dunianii, kama hujaonja hio kitu huwezi kunielewa.
Watu wanakaa uchumba hadi six years af wanaoana na wanafanya annivesaries za 5, 10 etc...Alikuwa hakupendi. Miaka mitatu mnafanya ufuska tu mlishindwa nini kuoana, kama upendo wa dhati upo mngefunga ndoa no matter what,
Yule nilimlaga baadae game moja la hasira sana, kaniganda balaa na mtoto alikua kama mnyarwanda hivi, nae aliniganda ila tu nikawa nishakata tamaa na mahusiano kipindi hikoNa je vp yule Demu mkali wa NGo ulimwacha tu je aliolewa?
No, yule demu hakumaliza chuo, aliendekeza umalaya, na enzi zile chuo sio kama siku hizi. Nasikiaga aligonganisha lecturers wawili mmoja akamfanyia figisu akadisco.Duu UDSM mpaka Counter za Bar au unatuongopea kwa jili una wivu Naye.Mtafute myajengee mbona Kama wote yamewakuta
Nishajenga hio kesho, niko naiishi kwa sasa, siwezi kuipoteza.Sasa umechanganyikiwa my young brother Cha msingi usipoteze kesho yako yenye watoto Bora toka family Bora kwa kujiumiza unaposema unawapanga Hawa viumbe ni kweli but vp watu wote Duniani wangefanya hivyo wazazi wako je?? Ukisimuliwa visa vya wengine na Leo wametulia na ndoa au mahusiano utaacha your ill mentality.Stop
Niwe mkweli kuna wanawake wakiwa wanaomba kitu huwa wanakuwa sexy hadi raha, wengine anataka kukuomba hela eti utalisikia "baby nina njaa" yaan jitu hata halijui kuomba kwa deko, hio deko hamjui ni kama music kwetuNa wanajichetuaga tu ila kelele zetu wanazipenda sanaaa.
Wasubirie tu maroboti sasa, kama nawaona watakavyomiss makelele🤣🤣🤣🤣🤣
Sina iyo maana best.. I mean unakuwa na One solid family a ha hii kuzaa zaa ovyo na wewe.Mapenzi yalikuumiza but unaweza kuyaorove wrong kwamba you can stand again Hii kuwapanda wadada bado una resentmentsNishajenga hio kesho, niko naiishi kwa sasa, siwezi kuipoteza.
Ndl unazidi kukosea sasa, magonjwa hayatakuacha salama, usishindane na mbunye mkuu.Mkuu ndo hivo, yaani kwa sasa ninavyowapanga hawa viumbe, na baadhi wanajuana ila hawana budi
Huu ndo ukweli mzee. Demu wako kama ni mkare jua anatongozwaga 24/7 na miongoni mwa wanaomtongoza ni wanaume wenzio waliokuzidi kila kitu kiasi kwamba hata akikutosa anakuwa hana cha kupoteza.Tatizo sio ukimya ila ni wewe kumwamini mwanamke na kua na huyo tu..
Dee ulikua nae yeye tu!! Vee ulikua nae yeye tu sasa hapo mkuu kwanini usiumizwe?
Uko na mtoto mkali kwa gari hupigi wala nini eti uko na Vee.
Madem zako walikuzidi ujanja, wao walikua na plan B.
Kuna alama ya mshangao hapo?Sasa Mikasa Duniani inaishaga??