Bashar Assad akwepa mtego wa Kuiingiza Syria katika Vita ya wenyewe kwa wenyewe, Hongera Urusi na Iran kwa ushauri mzuri

Bashar Assad akwepa mtego wa Kuiingiza Syria katika Vita ya wenyewe kwa wenyewe, Hongera Urusi na Iran kwa ushauri mzuri

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
12,835
Reaction score
23,584
Kwa kiongozi mwenye Hekima yeyote angechukua maamuzi kama aliyoyafanga Assad. Tayari fitina ilikua imeshaingia ndani ya nyumba . Assad angesema apambane ni wazi kungetokea Mauaji ya wenyewe kwa wenyewe kama Rwanda na Burundi. Naipongeza Urusi na Iran kwa kuuona huo mtego na kumshauri Assad asijibu mapigo yeyote ili kuepusha umwagaji damu wa raia wa Syria. Ingekua wavamizi ni wageni kutoka nje ya Syria nadhani pangechimbika.

Kila la heri nakutakia maisha mema huko Urusi.
Wanajeshi wa Syria wameamua kutopigana ili kuilinda nchi Yao dhidi ya Hila na fitina kutoka nje hii nayo ni busara ya Hali ya juu sana. Kwahiyo kwa mtazamo wangu Assad amemaliza vizuri sana kazi ipo kwa hao aliowaachia nchi Wana nafasi ama kuiingiza korongoni ama kuijenga na kuilinda nchi Yao. Assad ameshatoka maagizo kuwa nchi ikabidhiwe kwa amani kwa watakaokuja na hilo limetekelezwa.
20241209_043232.jpg
 
Kwa kiongozi mwenye Hekima yeyote angechukua maamuzi kama aliyoyafanga Assad. Tayari fitina ilikua imeshaingia ndani ya nyumba . Assad angesema apambane ni wazi kungetokea Mauaji ya wenyewe kwa wenyewe kama Rwanda na Burundi. Naipongeza Urusi na Iran kwa kuuona huo mtego na kumshauri Assad asijibu mapigo yeyote ili kuepusha umwagaji damu wa raia wa Syria. Ingekua wavamizi ni wageni kutoka nje ya Syria nadhani pangechimbika.
Kila la heri nakutakia maisha mema huko Urusi.
Wanajeshi wa Syria wameamua kutopigana ili kuilinda nchi Yao dhidi ya Hila na fitina kutoka nje hii nayo ni busara ya Hali ya juu sana. Kwahiyo kwa mtazamo wangu Assad amemaliza vizuri sana kazi ipo kwa hao aliowaachia nchi Wana nafasi ama kuiingiza korongoni ama kuijenga na kuilinda nchi Yao. Assad ameshatoka maagizo kuwa nchi ikabidhiwe kwa amani kwa watakaokuja na hilo limetekelezwa.View attachment 3172708
Really, are you serious?

Hii miaka 13 iliyopita Assad alikuwa anafanya nini?

Kama hakutaka mapigano ya wenyewe kwa wenyewe kwa nini hakuondoka Syria tangu 2011?
 
Really, are you serious?

Hii miaka 13 iliyopita Assad alikuwa anafanya nini?

Kama hakutaka mapigano ya wenyewe kwa wenyewe kwa nini hakuondoka Syria tangu 2011?
Yes am Seriously. Matokeo ya jeshi kupigana na waasi katika hii vita ya siku 11 kumuondoa madarakani madhara yangekua ni makubwa sana. Ni busara imetumika kuachia madaraka bila umwagaji damu.
 
Kwa kiongozi mwenye Hekima yeyote angechukua maamuzi kama aliyoyafanga Assad. Tayari fitina ilikua imeshaingia ndani ya nyumba . Assad angesema apambane ni wazi kungetokea Mauaji ya wenyewe kwa wenyewe kama Rwanda na Burundi. Naipongeza Urusi na Iran kwa kuuona huo mtego na kumshauri Assad asijibu mapigo yeyote ili kuepusha umwagaji damu wa raia wa Syria. Ingekua wavamizi ni wageni kutoka nje ya Syria nadhani pangechimbika.
Kila la heri nakutakia maisha mema huko Urusi.
Wanajeshi wa Syria wameamua kutopigana ili kuilinda nchi Yao dhidi ya Hila na fitina kutoka nje hii nayo ni busara ya Hali ya juu sana. Kwahiyo kwa mtazamo wangu Assad amemaliza vizuri sana kazi ipo kwa hao aliowaachia nchi Wana nafasi ama kuiingiza korongoni ama kuijenga na kuilinda nchi Yao. Assad ameshatoka maagizo kuwa nchi ikabidhiwe kwa amani kwa watakaokuja na hilo limetekelezwa.View attachment 3172708
Unachekesha kweli we baragashee!
 
Kila mchangiaji anaona umeandika kishabiki tu cha wale wavaa kobazi
Mtu dhaifu siku zote hukimbilia kujificha kwenye dini au kabila alisema mwalimu Nyerere .nadhani hii mada imekuzidi uzito maana hakuna popote nimeongelea mambo ya dini Mimi ila nashangaa unaleta habari za wavaa kobazi . Nilitegemea umesoma unikosowe kwa hoja nilizotoa lakini ndio uwezo wako ulipoishia haya Kila la heri kijana.
 
Mtu dhaifu siku zote hukimbilia kujificha kwenye dini au kabila alisema mwalimu Nyerere .nadhani hii mada imekuzidi uzito maana hakuna popote nimeongelea mambo ya dini Mimi ila nashangaa unaleta habari za wavaa kobazi . Nilitegemea umesoma unikosowe kwa hoja nilizotoa lakini ndio uwezo wako ulipoishia haya Kila la heri kijana.
Mkuu mtu mdini siyo mpaka aseme yeye ni mvaa kobazi au Mkristu/Mkristo, angalia hata mada zako nyingi unazoleta humu lazima mtu atajua tu kuwa wew ni mvaa kobazi. Anyway kama ulivyosema tuishie hapa nisiharibu uzi wako au kukukwaza
 
Maneno ya kujifariji tu hayo!

Baada ya watu wote hao kufa tokea 2011.

Baada ya matumizi ya silaha za kikemikali dhidi ya raia wake [2013 Ghouta chemical attack], leo baada ya kufurumishwa ndo unamsifia?

Assad should be tried for crimes against humanity.
 
Yes am Seriously. Matokeo ya jeshi kupigana na waasi katika hii vita ya siku 11 kumuondoa madarakani madhara yangekua ni makubwa sana. Ni busara imetumika kuachia madaraka bila umwagaji damu.
Nadhani pia ametathimini kuwa asingeshinda. Binafsi ninamsifu pia kwa calculation aliyoifanya na kuchukuwa maamuzi ya kukubali kushindwa. Tumeshuhudia viongozi baadhi walioamua kujitoa ufahamu na kuendelea kupambana na mwisho wao ULIKUWA WA FEDHEHA KUBWA KULIKO HII YA ASSAD. Angalau yeye na familia yake wametoka salama
 
Acha kutetea upuuzi, Assad kashindwa sio kwamba hatamani madaraka, jamaa halina shukranii hata wanajeshi wanaomlinda hawajali eti mpka siku ya vita ndio anaona umuhimu wao, ndiomaana wamegoma kupigana, huyo dicteta anatakiwa kunyongwa hadharani dunia ishuhudie
 
Kwa kiongozi mwenye Hekima yeyote angechukua maamuzi kama aliyoyafanga Assad. Tayari fitina ilikua imeshaingia ndani ya nyumba . Assad angesema apambane ni wazi kungetokea Mauaji ya wenyewe kwa wenyewe kama Rwanda na Burundi. Naipongeza Urusi na Iran kwa kuuona huo mtego na kumshauri Assad asijibu mapigo yeyote ili kuepusha umwagaji damu wa raia wa Syria. Ingekua wavamizi ni wageni kutoka nje ya Syria nadhani pangechimbika.

Kila la heri nakutakia maisha mema huko Urusi.
Wanajeshi wa Syria wameamua kutopigana ili kuilinda nchi Yao dhidi ya Hila na fitina kutoka nje hii nayo ni busara ya Hali ya juu sana. Kwahiyo kwa mtazamo wangu Assad amemaliza vizuri sana kazi ipo kwa hao aliowaachia nchi Wana nafasi ama kuiingiza korongoni ama kuijenga na kuilinda nchi Yao. Assad ameshatoka maagizo kuwa nchi ikabidhiwe kwa amani kwa watakaokuja na hilo limetekelezwa.View attachment 3172708
Bro syria haitakuwa kama Libya trust me. Pale hesabu zote zishapigwa ni shia na Iran tu zile ushawishi wake hawautaki. Lakini hakuna kinachokwenda kuharibika. Pale Uturuki yupo asilimia 100 ndio injinia na hatakubali tena migrants.
 
Kwa kiongozi mwenye Hekima yeyote angechukua maamuzi kama aliyoyafanga Assad. Tayari fitina ilikua imeshaingia ndani ya nyumba . Assad angesema apambane ni wazi kungetokea Mauaji ya wenyewe kwa wenyewe kama Rwanda na Burundi. Naipongeza Urusi na Iran kwa kuuona huo mtego na kumshauri Assad asijibu mapigo yeyote ili kuepusha umwagaji damu wa raia wa Syria. Ingekua wavamizi ni wageni kutoka nje ya Syria nadhani pangechimbika.

Kila la heri nakutakia maisha mema huko Urusi.
Wanajeshi wa Syria wameamua kutopigana ili kuilinda nchi Yao dhidi ya Hila na fitina kutoka nje hii nayo ni busara ya Hali ya juu sana. Kwahiyo kwa mtazamo wangu Assad amemaliza vizuri sana kazi ipo kwa hao aliowaachia nchi Wana nafasi ama kuiingiza korongoni ama kuijenga na kuilinda nchi Yao. Assad ameshatoka maagizo kuwa nchi ikabidhiwe kwa amani kwa watakaokuja na hilo limetekelezwa.View attachment 3172708
20241209_060058.jpg
 
Back
Top Bottom