Bashar Assad akwepa mtego wa Kuiingiza Syria katika Vita ya wenyewe kwa wenyewe, Hongera Urusi na Iran kwa ushauri mzuri

Bashar Assad akwepa mtego wa Kuiingiza Syria katika Vita ya wenyewe kwa wenyewe, Hongera Urusi na Iran kwa ushauri mzuri

Kwa hili la AL Assad nadhani tumepondwa na hapa luza zaidi namuona Iran 🇮🇷 ingawaje leo Ayatollah kajitutumua ila ngoja tutoe muda zaidi tuone
 
Really, are you serious?

Hii miaka 13 iliyopita Assad alikuwa anafanya nini?

Kama hakutaka mapigano ya wenyewe kwa wenyewe kwa nini hakuondoka Syria tangu 2011?
Nilitaka kuandika hiki but mkuu umemaliza, kuongezea hi ni sawa na kuongeza chumvi
 
Iwe iweje lakini mwishowe ameamua kwa hekima pasipo umwagaji damu.
Nakuunga mkono hoja yako
Waswahili wanasema
Ukivuliwa nguo chutama.
 
Kwa kiongozi mwenye Hekima yeyote angechukua maamuzi kama aliyoyafanga Assad. Tayari fitina ilikua imeshaingia ndani ya nyumba . Assad angesema apambane ni wazi kungetokea Mauaji ya wenyewe kwa wenyewe kama Rwanda na Burundi. Naipongeza Urusi na Iran kwa kuuona huo mtego na kumshauri Assad asijibu mapigo yeyote ili kuepusha umwagaji damu wa raia wa Syria. Ingekua wavamizi ni wageni kutoka nje ya Syria nadhani pangechimbika.

Kila la heri nakutakia maisha mema huko Urusi.
Wanajeshi wa Syria wameamua kutopigana ili kuilinda nchi Yao dhidi ya Hila na fitina kutoka nje hii nayo ni busara ya Hali ya juu sana. Kwahiyo kwa mtazamo wangu Assad amemaliza vizuri sana kazi ipo kwa hao aliowaachia nchi Wana nafasi ama kuiingiza korongoni ama kuijenga na kuilinda nchi Yao. Assad ameshatoka maagizo kuwa nchi ikabidhiwe kwa amani kwa watakaokuja na hilo limetekelezwa.View attachment 3172708

Syria rebels burn tomb of Bashar al-Assad's father
https://www.bbc.com/news/articles/c1wq01wde44o
Syrian rebel fighters have destroyed the tomb of late president Hafez al-Assad, father of ousted president Bashar, in the family's hometown.

Videos verified by the BBC showed armed men chanting as they walked around the burning mausoleum in Qardaha, in the north-west of the coastal Latakia region.

The rebels led by Islamist group Hayat Tahrir al-Sham (HTS) swept across Syria in a lightning offensive that toppled the Assad dynasty's 54-year rule. Bashar al-Assad has fled to Russia where he and his family have been given asylum.
 
Back
Top Bottom