Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Assad kakimbia kwa sababu kapigwa, kashindwa kulipa wanajeshi wake, kakosa support ya Warusi, Hizbollah na Wairan.Kwani Kuna sheria ya kusoma alama za nyakati? Kwamba usiposoma hizo alama mwaka Fulani ukija kuzisoma mwaka unaofuatia utakua umekosea.?
Huyu ana mahaba na Assad. Si bure.Ndio shida ya Wenye akili za kushikiwa. Hapo kaona kaandika kweli kweli.
Kuna watu hawana aibu. Wanafikiri ukikomalia kusema uongo, unageuka kuwa ukweli.Na kwa nn Assad aliwaambia Urusi waufute mji wa Allepo hiyo miaka?na Urusi kwa kutumia ndege vita zake aliuuwa kila kumbe alichoona kinatembea? Mji ukageuka zaidi ya Gaza. Halafu leo wanasifiwa
Hakuna wote kuwa sahihi.Nyote mnaweza kuwa sahihi,lakini 2011 serikali yake ilikua strong financially na bado alikua na matumaini
Amechukua approach hii kwa sababu kaishiwa na hela hana hata mshahara wa kuwalipa wanajeshi wake.Bila shaka amechukua approach hii baada ya kuona madhara ya 2013, hivyo hajataka yajirudie
Assad kaondoka kwa sababu kapigwa, kwa sababu rafiki zake Warusi, Hizbollah na Iran wako busy na vita vyao.Ya kwasasa wamagharibi walijipanga Sana kama ukraine kumkomoa Iran na Urusi bahati nzuri intelijensia za urusi na Iran wameling'amua hilo mapema, wameondoka na Assad na mabilioni ya dola na dhahabu yote waanze upya western limewauma sana hilo😆
Kwa nini kakubali 2024 na hakukubali 2013?Assad agreed to step down following back-channel talks with unspecified armed groups and left the country, instructing officials to conduct “a peaceful transfer of power,” the Russian Foreign Ministry said on Sunday.
Hizo ni propaganda tu hakuna ukweli wowote kuwa kaishiwa hela.Unaambiwa Assad kaishiwa hela halafu rafiki zake Warusi, Hizbollah na Wairan wana vita zao wameshindwa kumsaidia.
Sasa mtu kaishiwa hela, marafiki zake wameshindwa kumsaidia, kashindwa vita, unasema katumia busara kukimbia wakati kashindwa vita?
Unampangia muda wa kukubali?Kwa nini kakubali 2024 na hakukubali 2013?
Assad kashindwa kuwalipa wanajeshi mpaka muandishi wa CNN kaingia Syria kakuta mipaka haina walinzi.Hizo ni propaganda tu hakuna ukweli wowote kuwa kaishiwa hela.
Angetaka kuiepusha nchi na vita vya wenyewe kwa wenyewe angekimbia kabka haijaanza.Unampangia muda wa kukubali?
Ushauri wako hata kama angeusikia hiyo miaka 13 iliyopita asingeufanyia kazi .muda sahihi wakuufanyia kazi kwa mtazamo wake ni mwaka huuAngetaka kuiepusha nchi na vita vya wenyewe kwa wenyewe angekimbia kabka haijaanza.
Mtu aliyepigana kwa miaka 13 akakimbia kwa sababu kashindwa hajaiepusha nchi na vita ya wenyewe kwa wenyewe.
Huu si ushauri wangu.Ushauri wako hata kama angeusikia hiyo miaka 13 iliyopita asingeufanyia kazi .muda sahihi wakuufanyia kazi kwa mtazamo wake ni mwaka huu
Ndio ni wako wewe ndio umesemaHuu si ushauri wangu.
Ni ukweli wa mambo.
Hapana, mimi kusema hakufanyi kuwa wangu.Ndio ni wako wewe ndio umesema
HayaHapana, mimi kusema hakufanyi kuwa wangu.
Nikisema Morogoro Road inasafirisha magari kutoka Dar mpaka Moro mimi kusema hivyo hakufanyi Morogoro Road kuwa yangu.
That s just a fact. Me stating a fact does not make that fact my fact.