Bashar Assad akwepa mtego wa Kuiingiza Syria katika Vita ya wenyewe kwa wenyewe, Hongera Urusi na Iran kwa ushauri mzuri

Bashar Assad akwepa mtego wa Kuiingiza Syria katika Vita ya wenyewe kwa wenyewe, Hongera Urusi na Iran kwa ushauri mzuri

Kuna Mfungwa mmoja Alikuwa ni Mpinzani wa Serikali ya Baba yake Assad Hefez Al Assad, anasema kafungwa Miaka arobaini na ushee iliyopita. anasema aliingia Kijana mdogo Barubaru katoka Mzee na meno yote hana Familia yake iliambiwa kuwa keshauwawa.

Kaachiwa Jana😢😥
 
Assad kakimbia kwa sababu kapigwa, kashindwa kulipa wanajeshi wake, kakosa support ya Warusi, Hizbollah na Wairan.

Hicho ni kipigo tu, hakuna busara hapo.
Au labda Assad ni kama mandonga.

Akipigwa ni kama kapiga.
 

Watu kama leo wameikimbia Nchi ya Syria wanaenda kuyaanza maisha ya Ukimbizini.
 
Kwa kiongozi mwenye Hekima yeyote angechukua maamuzi kama aliyoyafanga Assad. Tayari fitina ilikua imeshaingia ndani ya nyumba . Assad angesema apambane ni wazi kungetokea Mauaji ya wenyewe kwa wenyewe kama Rwanda na Burundi. Naipongeza Urusi na Iran kwa kuuona huo mtego na kumshauri Assad asijibu mapigo yeyote ili kuepusha umwagaji damu wa raia wa Syria. Ingekua wavamizi ni wageni kutoka nje ya Syria nadhani pangechimbika.

Kila la heri nakutakia maisha mema huko Urusi.
Wanajeshi wa Syria wameamua kutopigana ili kuilinda nchi Yao dhidi ya Hila na fitina kutoka nje hii nayo ni busara ya Hali ya juu sana. Kwahiyo kwa mtazamo wangu Assad amemaliza vizuri sana kazi ipo kwa hao aliowaachia nchi Wana nafasi ama kuiingiza korongoni ama kuijenga na kuilinda nchi Yao. Assad ameshatoka maagizo kuwa nchi ikabidhiwe kwa amani kwa watakaokuja na hilo limetekelezwa.View attachment 3172708
Uwongo mkubwa
 
Urusi alianza kushambulia misafara inayoelekea damascus na allepo ili kuondoa mali zote zikiwepo pesa na dhahabu yote ya Syria baada ya zoezi kukamilika ndio ikafuata oparation ondoa Assad damascus ukitaka kujua warusi nyoko ndege ya Assad baada ya kuondoka damascus kuingia homs wakaifuta kwenye satalite ikapotea, taarifa za Assad kuwa yupo hai zimeanza kutolewa na ikulu ya kremlin 😀
Kumbe!?
Hata Mimi Hali ya ndege ya Assad kupotea kwenye rada na baadae kusemekana kua huenda ndege iliripuliwa na Assad kuhofiwa kufa ilinishangaza sana,Cha ajabu baadae ikasemwa Yuko Moscow,aisee!!
 
Kumbe!?
Hata Mimi Hali ya ndege ya Assad kupotea kwenye rada na baadae kusemekana kua huenda ndege iliripuliwa na Assad kuhofiwa kufa ilinishangaza sana,Cha ajabu baadae ikasemwa Yuko Moscow,aisee!!
Waasi wameingia damascus hakuna hata mia bank kuu dhahabu almasi yote ilishahamishiwa Moscow nafikir dege kubwa lilionekana kwenye rada likienda Moscow to damascus zaidi ya round sits linahamisha mali, Western limewauma sana hilo, suala lingine ni Putin kukwepa civil war syria ili kumdhoofisha zaidi Putin na Iran kabla ya yote kamwondoa Assad katulia pembeni anawachora na magaidi wao huku akiendelea kumshughulikia Zeleboy taratibu akimsubiri trump, bila hekima ya Putin Trump angeingia madarakani dunia iko WWW III democratic walilidhamiria hilo...
 
Kakimbia bana kama mwizi acha kuremba maneno, wafadhili wake hawakuwa na uwezo wa kumbeba tena eti kaepusha vita muuaji kama huyu anajali kitu zaidi ya madaraka?? Maji yalizidi unga tu. Hata kama una mahaba na Urusi na Iran ukweli unaujua
 
Kakimbia bana kama mwizi acha kuremba maneno, wafadhili wake hawakuwa na uwezo wa kumbeba tena eti kaepusha vita muuaji kama huyu anajali kitu zaidi ya madaraka?? Maji yalizidi unga tu. Hata kama una mahaba na Urusi na Iran ukweli unaujua
Tuliza jazba mkuu waarabu hawajitambui Moscow itarudi tu Syria kwani Afghanistan ilikuwaje tatizo muda tu...😅
 
Tuliza jazba mkuu waarabu hawajitambui Moscow itarudi tu Syria kwani Afghanistan ilikuwaje tatizo muda tu...😅
Moscow ikimaliza shida zake kwanza - Yes, hayo ya baadae sasa sio ya sasa, ilikua kumpa Assad hifadhi kwanza na ikishajitafuta na kujipata hatakua relevant tena! Kujifanya kwamba alikua na nia njema asiingize Syria kwnye vita ya wenyewe kwa wenyewe ni assumptions tu za huku kwa mtogole, kwa kuwa hajawahi kuwa na huruma ya namna hiyo, why leo??.

Alipoona anazidiwa alikimbilia kwa hao mabwana zake na wakamtosa then akarudi akaongeza wanajeshi mshahara nayo haikusaidia alipoona waasi wanamsogolea akasepa!
 
Kwa kiongozi mwenye Hekima yeyote angechukua maamuzi kama aliyoyafanga Assad. Tayari fitina ilikua imeshaingia ndani ya nyumba . Assad angesema apambane ni wazi kungetokea Mauaji ya wenyewe kwa wenyewe kama Rwanda na Burundi. Naipongeza Urusi na Iran kwa kuuona huo mtego na kumshauri Assad asijibu mapigo yeyote ili kuepusha umwagaji damu wa raia wa Syria. Ingekua wavamizi ni wageni kutoka nje ya Syria nadhani pangechimbika.

Kila la heri nakutakia maisha mema huko Urusi.
Wanajeshi wa Syria wameamua kutopigana ili kuilinda nchi Yao dhidi ya Hila na fitina kutoka nje hii nayo ni busara ya Hali ya juu sana. Kwahiyo kwa mtazamo wangu Assad amemaliza vizuri sana kazi ipo kwa hao aliowaachia nchi Wana nafasi ama kuiingiza korongoni ama kuijenga na kuilinda nchi Yao. Assad ameshatoka maagizo kuwa nchi ikabidhiwe kwa amani kwa watakaokuja na hilo limetekelezwa.View attachment 3172708
Shame
 
Kwasababu naipinga Israeli au napingana na marekani unaweza kuniitia hivyo na kwasababu nawaunga mkono wapalestina una Haki ya kuniona ni mdini ila ni mtazamo wako tu .Mimi ni shabiki mkubwa wa nchi zinazopingana na marekani na washirika wao. Mimi nawasapoti Korea kaskazini, urusi , china na wengine wanaofanana na hao. Ila siwezi kukuona wewe ni mkristo kwa kuwa upo upande wa Israel au Marekani hilo ulijue.
Sawa mkuu, ndiyo kuna kushoto na kulia na huwezi mpangia mtu wapi ashabikie au kusapoti. Nimekuelewa mkuu. Tuishie hapa.
 
Really, are you serious?

Hii miaka 13 iliyopita Assad alikuwa anafanya nini?

Kama hakutaka mapigano ya wenyewe kwa wenyewe kwa nini hakuondoka Syria tangu 2011?
Hafai maswali kutoka Kwa watu wenye hekima. Umeliona jina lake kwanza? NI mzimu maana halisi Yuko na Bikra 72 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom