Bashe amewakuta Watanzania wananunua kilo ya mchele 1,800 sasa wananunua 3,500

Bashe amewakuta Watanzania wananunua kilo ya mchele 1,800 sasa wananunua 3,500

saidoo25

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2022
Posts
624
Reaction score
1,456
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe wakati anakabidhiwa Wizara ya Kilimo aliwakuta watanzania wananunua mchele Kilo 1,300 hadi 2,000 kulingana na ubora.

Sasa hivi 2023 tunanunua kilo 3,500 ya Mchele alafu bado tunaamini Bashe ni Waziri mzuri wa Kilimo na anamsaidia vizuri Mh Rais Samia.
1674114194691.jpeg
 
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe wakati anakabidhiwa Wizara ya Kilimo aliwakuta watanzania wananunua mchele Kilo 1,300 hadi 2,000 kulingana na ubora.

Sasa hivi 2023 tunanunua kilo 3,500 ya Mchele alafu bado tunaamini Bashe ni Waziri mzuri wa Kilimo na anamsaidia vizuri Mh Rais Samia
View attachment 2487254
Ila kwa mvua zinavyonyesha vizuri mpaka sasa na watu walivyojitokeza kulima kwa wingi tuombe Mungu mambo yakiendelea hivi mwakani bei ya mazao itashuka sana

Kupanda kwa bei ya mazao akumtegemei Waziri wa kilimo inategemeana na hali ya hewa na mavuno yanayopatika mwaka husika mwaka 2016 kilo moja ya sembe tulinunua tsh2500/= au umesahau?
 
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe wakati anakabidhiwa Wizara ya Kilimo aliwakuta watanzania wananunua mchele Kilo 1,300 hadi 2,000 kulingana na ubora.

Sasa hivi 2023 tunanunua kilo 3,500 ya Mchele alafu bado tunaamini Bashe ni Waziri mzuri wa Kilimo na anamsaidia vizuri Mh Rais Samia
View attachment 2487254
Na waziri anayehusika na mafuta ya magari, huo mwaka 2020 alikuta yanauzwa bei gani? Na sasa ni bei gani?
Nimaanishacho kila sehemu vitu bei imepanda. Wa kulaumiwa si Bashe pekee, bali ni serikali nzima inayoongozwa na mama
 
Na waziri anayehusika na mafuta ya magari, huo mwaka 2020 alikuta yanauzwa bei gani? Na sasa ni bei gani?
Nimaanishacho kila sehemu vitu bei imepanda. Wa kulaumiwa si Bashe pekee, bali ni serikali nzima inayoongozwa na mama
Nitajie nchi ambayo vitu havijapanda
 
Back
Top Bottom