rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Zile pesa za ruzuku ya mbolea zinatokana na Kodi ya nani, mweleze wanaofaidika ni wafanyabiashara sio wakulimaWatu wote hatuwezi kulima, na kwa taarifa yako hakuna mkulima anayenufaika na ongezeko la bei ya mazao