butron
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 5,640
- 7,943
Huyo atakuwa Msomali,kwao kuna ukame!Uongo wa kijinga...2016 halikuwa kutokea hilo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo atakuwa Msomali,kwao kuna ukame!Uongo wa kijinga...2016 halikuwa kutokea hilo.
Mwambieni Mama yenu FOOD SECURITY=NATIONAL SECURITY.Miaka hii ya Samia ni ya kupiga pesa,tulipata hasara sana enzi za Jiwe
Yule wampeleke Wizara ya Uvuvi,Msomali na Kilimo wapi na wapi?Bashe is too young mentally,and experience wise,to make sure the country have enough food and at affordable price
Huelewi hata maana ya food securityMwambieni Mama yenu FOOD SECURITY=NATIONAL SECURITY.
Mjumbe hauwawi!
Wapumbavu kama wewe Huwa unabishana badala ya kujadilianaSibishani na wapumbavu ujue
Ndio maana tukawaambia fungeni mipaka ili vyakula visiende nje mkakaza mafuvu huku mkibinua viuno kwamba mnafungua nchiNyie mnajivua akili kuwa hamkuona ukame wa mwaka jana?
Wanafaudika madalali na sio wakulima.Kwahiyo hamtaki wakulima wafaidi matunda ya jembe lao?
Kama ghali sana lima mpunga na maharage yako
Swala la Food Security au kufunga mipaka iwe ni kwa gharama ya nani? Kwa nini kila mtu asihusike kama nia ni hiyo? siyo short cut kwa kufunga mipaka na kulazimisha bei iwe sh elfu ishirini na kumtwisha hiyo food security yenu mkulima pekee. Imesemwa hapa, wakati analima nyie mlikuwa mmekaa kwenye stool na mrija, anahenyeka na pembejeo nyie mnapiga stories vijiweni. Anahangaika peke yake. Sasa kavuna mnatoka kwenye stools na vijiweni na vitisho vya food security. Come on.Ndio maana tukawaambia fungeni mipaka ili vyakula visiende nje mkakaza mafuvu huku mkibinua viuno kwamba mnafungua nchi
Sasa watu watarudi shambanii japo tutaumiaa snaa huyo mkulimaa atauza kilo kwa wastani wa 1200 lakini atakuja kununua kwa wastani wa 4000 sasa hapo ndo UUzaji wa chakula nje uwe wa mipaka na kiasi lasivyo kuna siku nchi itaagiza maindi kenya ambako tuliwauziaa.Swala la Food Security au kufunga mipaka iwe ni kwa gharama ya nani? Kwa nini kila mtu asihusike kama nia ni hiyo? siyo short cut kwa kufunga mipaka na kulazimisha bei iwe sh elfu ishirini na kumtwisha hiyo food security yenu mkulima pekee. Imesemwa hapa, wakati analima nyie mlikuwa mmekaa kwenye stool na mrija, anahenyeka na pembejeo nyie mnapiga stories vijiweni. Anahangaika peke yake. Sasa kavuna mnatoka kwenye stools na vijiweni na vitisho vya food security. Come on.
Mimi ni mkulima, nimeuza mazao yangu kwa bei nzuri na nimerudisha gharama zangu na kupata faida. Siyo misimu iliyopita, ilikuwa ni hasara tupu. Sasa kwanini msimu huu nisiongeze shamba? Nitafanya hivyo tuu kutukana na msimamo wa wizara na raisi kuwa kilimo ni biashara. na kama itaendelea hivi, hizi kelele za vijana na wasomi wetu kukosa ajira zitakwisha.
So acheni approach hii iendelee. Miako mitano hadi kumi ijayo, kelele za vijana kukosa kazi zitaisha. Kilimo na biashara ya kuongeza thamani ya mazao itajongeza nchi mbele zaidi.
Aluta Continua Waziri Bashe na serikali ya mama kwa hili.
Kalime wewe ukishaivisha ndio tutafungaNdio maana tukawaambia fungeni mipaka ili vyakula visiende nje mkakaza mafuvu huku mkibinua viuno kwamba mnafungua nchi
Wewe ni tajiriNina gunia 3000 za mchele hapo chimala nasubiri nizitoe mwezi wa pili
Kwani atauza chote Ili akose chakula? Hiyo haipo..Sasa watu watarudi shambanii japo tutaumiaa snaa huyo mkulimaa atauza kilo kwa wastani wa 1200 lakini atakuja kununua kwa wastani wa 4000 sasa hapo ndo UUzaji wa chakula nje uwe wa mipaka na kiasi lasivyo kuna siku nchi itaagiza maindi kenya ambako tuliwauziaa.
Wakitaka bei wanazotaka hizo serikali itoe guarantee ya bei ya mazao ya Kilimo,Sasa serikali ibebe mizigo hiyo ya nini?Swala la Food Security au kufunga mipaka iwe ni kwa gharama ya nani? Kwa nini kila mtu asihusike kama nia ni hiyo? siyo short cut kwa kufunga mipaka na kulazimisha bei iwe sh elfu ishirini na kumtwisha hiyo food security yenu mkulima pekee. Imesemwa hapa, wakati analima nyie mlikuwa mmekaa kwenye stool na mrija, anahenyeka na pembejeo nyie mnapiga stories vijiweni. Anahangaika peke yake. Sasa kavuna mnatoka kwenye stools na vijiweni na vitisho vya food security. Come on.
Mimi ni mkulima, nimeuza mazao yangu kwa bei nzuri na nimerudisha gharama zangu na kupata faida. Siyo misimu iliyopita, ilikuwa ni hasara tupu. Sasa kwanini msimu huu nisiongeze shamba? Nitafanya hivyo tuu kutukana na msimamo wa wizara na raisi kuwa kilimo ni biashara. na kama itaendelea hivi, hizi kelele za vijana na wasomi wetu kukosa ajira zitakwisha.
So acheni approach hii iendelee. Miako mitano hadi kumi ijayo, kelele za vijana kukosa kazi zitaisha. Kilimo na biashara ya kuongeza thamani ya mazao itajongeza nchi mbele zaidi.
Aluta Continua Waziri Bashe na serikali ya mama kwa hili.
Nyie mnajivua akili kuwa hamkuona ukame wa mwaka jana?
Kutesa kwa zamu kipindi Cha nyuma mkulima wa mpunga ilikuwa sio kazi rahisi kujenga nyumba kwa kutegemea mpunga lakini saizi ukiuza gunia kumi tu unasimamisha nyumba kidogo yenye afadhali (kwa kijijini)Kwahiyo hamtaki wakulima wafaidi matunda ya jembe lao?
Kama ghali sana lima mpunga na maharage yako
Wafunge mipaka ili wakulima wauze kwa bei ya chini na hasara waliyoipata kutokana na ukame nani atawafidia?Ndio maana tukawaambia fungeni mipaka ili vyakula visiende nje mkakaza mafuvu huku mkibinua viuno kwamba mnafungua nchi
Tanzania haipo Mars, ipo hapa duniani, dunia ipo interconnected kibiashara na kiuchumiTunazungumza matatizo yetu kama Tanzania na hakuna nchi inayo share matatizo na nchi nyingine Duniani.Kwaiyo nchi zingine wakitembea uchi na sisi tutembee uchi wakati tuna uwezo wa kupata mavazi!
Wacha UJINGA wewe ndezi. Hiyo ni FURSA nenda ukalime mpunga Upeleke sokoni upate fedha.Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe wakati anakabidhiwa Wizara ya Kilimo aliwakuta watanzania wananunua mchele Kilo 1,300 hadi 2,000 kulingana na ubora.
Sasa hivi 2023 tunanunua kilo 3,500 ya Mchele alafu bado tunaamini Bashe ni Waziri mzuri wa Kilimo na anamsaidia vizuri Mh Rais Samia.
View attachment 2487254