Bashe amewakuta Watanzania wananunua kilo ya mchele 1,800 sasa wananunua 3,500

Bashe amewakuta Watanzania wananunua kilo ya mchele 1,800 sasa wananunua 3,500

Bwege wewe hapo hujui maana ya food security nyio ndio mnaokaa kusifia halafu mnaenda kuomba mkumbukwe
Wewe sio tuu ni bwege Bali ni fala, unadhani food security ni bidhaa za wakulima kuuzwa bei za kutupa za kuwakandamiza? 😁😁😁😁

Utaishia hivyo hivyo na msimamo wa serikali uko wazi,Kilimo ni biashara kama zingine wewe endelea kusubiria food security 🤣🤣
 
Maswali yote hayo unayouliza vitu hivyo vilikuwa havitumiki kabla ya Bashe kuwa Waziri? mbona suala la wanunuzi wa mazao mashambani kutoka nchi za nje huzungumzii?
Mkulima analima ili auze apate hela , maisha yake yawe bora. Ujampa mbegu, ujampa mbolea wala trekta. Unataka bei umpangie??? Anauza panapomlipa . Kama unaona garama Kalime Chakula chako- Tanzania Mapori mengi tu kapige Jembe uje utuuzie kilo 500
 

Attachments

  • IMG_9566.MOV
    22.7 MB
Mkulima analima ili auze apate hela , maisha yake yawe bora. Ujampa mbegu, ujampa mbolea wala trekta. Unataka bei umpangie??? Anauza panapomlipa . Kama unaona garama Kalime Chakula chako- Tanzania Mapori mengi tu kapige Jembe uje utuuzie kilo 500
Kufupisha story ni kwamba Kilimo ni biashara..

Akitaka bei Chee akalime mvua zinanyesha vinginevyo ahame mjini kama hana pesa ya kununua
 
Wewe sio tuu ni bwege Bali ni fala, unadhani food security ni bidhaa za wakulima kuuzwa bei za kutupa za kuwakandamiza? 😁😁😁😁

Utaishia hivyo hivyo na msimamo wa serikali uko wazi,Kilimo ni biashara kama zingine wewe endelea kusubiria food security 🤣🤣
Wewe unafikiria Kwa makalio siwezi kupoteza muda kuongea na mpumbavu anayeishi Kwa kutegemea kulamba watu miguu
 
Afu huyu ndio wana msifu na kuabudu.

Wakati anapiga pesaa zetu ajenge vituo vya mafuta. Nzega pale keshaanza kusimamisha kituo kipya cha mafuta
Kama ni pesa zake sinashida nalo.
 
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe wakati anakabidhiwa Wizara ya Kilimo aliwakuta watanzania wananunua mchele Kilo 1,300 hadi 2,000 kulingana na ubora.

Sasa hivi 2023 tunanunua kilo 3,500 ya Mchele alafu bado tunaamini Bashe ni Waziri mzuri wa Kilimo na anamsaidia vizuri Mh Rais Samia
View attachment 2487254
Kwahiyo unataka kusema Bashe hafai tena kuendelea kuwa Rais wa Tanzania 2025?
 
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe wakati anakabidhiwa Wizara ya Kilimo aliwakuta watanzania wananunua mchele Kilo 1,300 hadi 2,000 kulingana na ubora.

Sasa hivi 2023 tunanunua kilo 3,500 ya Mchele alafu bado tunaamini Bashe ni Waziri mzuri wa Kilimo na anamsaidia vizuri Mh Rais Samia.
View attachment 2487254
Sisi wakulima wacha tupige hela
 
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe wakati anakabidhiwa Wizara ya Kilimo aliwakuta watanzania wananunua mchele Kilo 1,300 hadi 2,000 kulingana na ubora.

Sasa hivi 2023 tunanunua kilo 3,500 ya Mchele alafu bado tunaamini Bashe ni Waziri mzuri wa Kilimo na anamsaidia vizuri Mh Rais Samia.
View attachment 2487254
Bashe ni wale wanajidai waomini wa soko huru wakati kitu halisi kipo kwa mazao nchini ni soko huria.
Ili soko kua huru kuna masharti lazima yatimie. Ukweli soko huru ni nadharia tu ndio maana nchi nyingi wanadhibiti masoko kufuatana kiwango cha udhibiti unayohitajika.
Masoko ya mazao hapa tz yanatawaliwa na walanguzi watupu halafu mtu unataka kusiwepo udhibiti eti soko liwe huru. Matokeo yake bei za vyakula zimepaa na wafaidika ni watu wa kati na wala sio wakulima.
 
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe wakati anakabidhiwa Wizara ya Kilimo aliwakuta watanzania wananunua mchele Kilo 1,300 hadi 2,000 kulingana na ubora.

Sasa hivi 2023 tunanunua kilo 3,500 ya Mchele alafu bado tunaamini Bashe ni Waziri mzuri wa Kilimo na anamsaidia vizuri Mh Rais Samia.
View attachment 2487254
Kwake yeye anaona hayo ndiyo maendeleo! Huku thamani ya fedha ikiendelea kushuka.
 
Kuna watu wataingia kichwa kichwa kulima na kununua afu watafanywa kama parachichi
 
Nitajie nchi ambayo vitu havijapanda
Tunazungumza matatizo yetu kama Tanzania na hakuna nchi inayo share matatizo na nchi nyingine Duniani.Kwaiyo nchi zingine wakitembea uchi na sisi tutembee uchi wakati tuna uwezo wa kupata mavazi!
 
Back
Top Bottom