mbazitz
JF-Expert Member
- Feb 9, 2017
- 731
- 1,013
Power without balance,....Magufuli alikuwa na nguvu sana halafu kuna wajinga wajinga wanaamini hakushinda uchaguzi wa 2020
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Power without balance,....Magufuli alikuwa na nguvu sana halafu kuna wajinga wajinga wanaamini hakushinda uchaguzi wa 2020
Wewe ndio Mjinga unayeamini alishindwa kwa kubeba maboksi ya kura na polisiMagufuli alikuwa na nguvu sana halafu kuna wajinga wajinga wanaamini hakushinda uchaguzi wa 2020
Walinda legasi mmechachamaaa🤣🤣Bush mpaka leo anadunda!
Obama mpaka leo anadunda na ameua watu wengi sana huko duniani kwa ajili ya maslahi yake!
.mungu wako angekuwa na akili kama angeiua ccm, maana mpaka leo bado inakutesa!
The number of people that Bush killed in Iraq haielezeki ila jamaa anadunda tu...bt no one what to talk abt itBush mpaka leo anadunda!
Obama mpaka leo anadunda na ameua watu wengi sana huko duniani kwa ajili ya maslahi yake!
.mungu wako angekuwa na akili kama angeiua ccm, maana mpaka leo bado inakutesa!
Hayati hakuwa na muhali zingua akuoneshee sebene tena hapo hapo.
Kwa kauli ya Bashe nimeamini kwamba ni kweli korosho zilitupwa baharini, maana zilidoda kweli kweliKama nime muelewa vizuri bashe Inaonekana ndani ya selikali ya magufuli kulikuwa na watu walio kuwa wana mdanganya muheshimiwa kwa kumu aminisha uongo na kwa maslahi yao…,
Usiishie hapo kwa yeye kushinda, endelea kwenye ushindi wa wabunge wote wa CCM..., hadi huko mitaani ikawa ni CCM tupu!Magufuli alikuwa na nguvu sana halafu kuna wajinga wajinga wanaamini hakushinda uchaguzi wa 2020
Huyo jamaa basi tu, natumaini hana mazito yaliyojificha, ambayo ni kinyume na mwonekano wake anaouonyesha.Sikiliza clip Bashe is such a gentleman; siku zote anamnenea vizuri Magufuli.
Anachosimulia ni kwamba alitoa wazo boss akauliza una uhakika na unachonadi, akajibu nina uhakika. Magufuli akasapoti mpango wake hadharani ila akamwambia ukibuma utajuta.
The guy is very loyal, yeye anataka kazi yake iongee kwa boss wake ata huyu aliyepo sio kuishi kwa kujipendekeza tu kama vijana wenzake ambao ni mawaziri.
Uh-Oh!Maisha ya mtandaoni mengi ya kuigiza au hujui. Kwani lile sakata la kuiba hela hazina hela alizificha nani? watu wale wa kanda ya kaskazini kule ziwani kama sio bwasheee
Huo uchaguzi ulisimamiwa na nani?
Sikiliza clip Bashe is such a gentleman; siku zote anamnenea vizuri Magufuli.
Anachosimulia ni kwamba alitoa wazo boss akauliza una uhakika na unachonadi, akajibu nina uhakika. Magufuli akasapoti mpango wake hadharani ila akamwambia ukibuma utajuta.
The guy is very loyal, yeye anataka kazi yake iongee kwa boss wake ata huyu aliyepo sio kuishi kwa kujipendekeza tu kama vijana wenzake ambao ni mawaziri.
The number of people that Bush killed in Iraq haielezeki ila jamaa anadunda tu...bt no one what to talk abt it
Magufuli alikuwa na nguvu sana halafu kuna wajinga wajinga wanaamini hakushinda uchaguzi wa 2020
Na Robert wa Uswisi! Furahi!Huo uchaguzi ulisimamiwa na nani?