Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Magufuli alikuwa na nguvu sana halafu kuna wajinga wajinga wanaamini hakushinda uchaguzi wa 2020
Wewe ndio mjinga number 1.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli alikuwa na nguvu sana halafu kuna wajinga wajinga wanaamini hakushinda uchaguzi wa 2020
VIROBOTO hawataweza kujibu iyo hoja yao ya kishetani wao wanaamini MUNGU anafanya kazi kama wanavyo fikiri na roho zao za chukiBush mpaka leo anadunda!
Obama mpaka leo anadunda na ameua watu wengi sana huko duniani kwa ajili ya maslahi yake!
.mungu wako angekuwa na akili kama angeiua ccm, maana mpaka leo bado inakutesa!
We mwenyewe hadi sasa upo kuzimu hujielewi tuYuko zake kuzimu uko.
We kiroboto Kenya watu walikufa Uganda watu wanakufa nn kimewapata viongozi wa nchi iyoKuna tofauti kati ya kuua raia wako wanaokukosoa wakati wa amani na kuua raia wa nchi nyingine vitani kupitia majeshi. Bush angeteka, kutesa na kuua Wamarekani kwa kutumia watu wasiojulikana ingekuwa habari nyingine kabisa. Na kwa Marekani isingewezekana. Vita za Marekani Iraq, Afghanistan na kwingineko zimezungumziwa sana hapa JF na kwenye media zote duniani. Uovu hata wa kimataifa haushabikiwi na watu wenye akili.
Urusi Putin anashambuliwa kwa kuteka, kutesa na kuua wapinzani wake nchini mwake sio kwa malaki ya waSirya au waUkraine aliowaua katika vita.
Usilinganishe mambo tofauti kabisa.
Sasa hapo ndio umeandika nini ?Bashe ametoa Siri aliyoificha kwa muda, kuwa Magufuli alitaka amtumbue na amuuweke ndani. CHEKI VIDEO
Waziri Bashe amesema, alipoteuliwa kuwa Naibu Waziri wa Kilimo alikumbana na sakata la korosho ambapo ghala la Serikali lilijaa korosho, na korosho mpya zilikuwa zinaingia.
Ili kukabiliana na hilo akatoa kauli ya ununuzi binafsi wa korosho ambao utakuwa wa uwazi. Kauli hiyo aliitoa mkoani Lindi alipokuwa na Rais Magufuli ziarani.
Rais Magufuli alimuuliza kama mfumo anaoupendekeza utafanikiwa, ambapo Bashe alimhakikishia Rais kuwa mfumo huo utafanya kazi tofauti na mfumo wa Serikali kununua korosho.
Rais Magufuli akamwambia ikitokea mfumo huo umefeli atamtumbua na kumuweka ndani. Bashe akajibu kwa kumwambia Rais abariki mfumo huo na ataona matokeo.
Wewe ni mjinga wa kiwango Cha SGR Magufuli alikuwa mtu na nusuMJINGA NI WEWE UNAYEAMINI HIVYO NDIO MAANA MOLA akafanya yake Katika Maisha OGOPA SANA kumpa HAKI mwanadamu ya kukunung'unikia Kwa MUNGU kwa ULIYOMTENDEA kama vile Kumtia kilema Kutoa Uhai wake HAKIKA MUNGU hatakuacha MALIPO ya UOVU huo ni hapa hapa Duniani
Mwendazake Ananung'unikiwa mpaka LEO
Chuma kikalamba reliChuma kama Chuma...
Yeye alikuwa yupo kwa ajiri ya wasukuma tu. Wengine hata mfe poa yeye hajari kabisa ndo Mana ilikuwa ni vilio kila Kona ispokuwa chato Mana hata mbuga zilianzishwa na viwanja vya ndege pia ambapo Sasa wanafuga kukuHayati hakuwa na muhali zingua akuoneshee sebene tena hapo hapo.
Na hao watu wapo bado wanamuaminisha chifuKama nimemuelewa vizuri Bashe Inaonekana ndani ya Serikali ya Magufuli kulikuwa na watu waliokuwa wanamdanganya mheshimiwa kwa kumuaminisha uongo na kwa maslahi yao…,
JPM hakuwa na kuchekeana kwenye kazi.
Sasahivi ni mwendo wa kulamba asali.
#MaendeleoHayanaChama
Haya maneno yako ungemwambia mwenda zake juu ya Bensanane etc.Makasiriko ya nn Boss,
Hata wewe utakufa, Na siku ya kufa kwako adui zako watafurahi sana
Muhimu Ni ujue ukifa unaenda wapi kuishi milele
Waliokumbia na maboksi hawakufa wapo na wanathibitisha.Magufuli alikuwa na nguvu sana halafu kuna wajinga wajinga wanaamini hakushinda uchaguzi wa 2020
Kwanza jitahidi kuandika kwa staha. Hunifahamu. Ustaarabu ni muhimu sana hapa JF.We kiroboto Kenya watu walikufa Uganda watu wanakufa nn kimewapata viongozi wa nchi iyo
2020 hakukua na uchaguzi kulikua na uchafuziMagufuli alikuwa na nguvu sana halafu kuna wajinga wajinga wanaamini hakushinda uchaguzi wa 2020
Ukifa umekusha hakuna cha kuishi milele kifo ni kinyume cha uhai, kuishi ni mara moja tuMakasiriko ya nn Boss,
Hata wewe utakufa, Na siku ya kufa kwako adui zako watafurahi sana
Muhimu Ni ujue ukifa unaenda wapi kuishi milele