Ridomil gold
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 2,790
- 2,232
Habari za muda huu
Kama kichwa kinavyosema namuomba mkuu BASHE aseme mafanikio na maendeleo ya BBT yake ilipofika maana mpaka sasa hatuoni matunda na hiyo kitu. Je, wamelima mazao ya mwaka mmoja au wamelipa zabibu tu?
Maana kuna madogo wanasema mpaka leo hiii bado wapo mtaani na hawajachukuliwa na waliochukuliwa wazazi wao wanalazimika kuwatumia pesa za kujikimu na BASHE hatumsikii akiongelea hicho kitu, hata wizara ya kilimo nayo imekaaa kimya.
Mfano MATI ILONGA walinunua chakula hao BBT wenyewe hakuna JITOKEZE BASHE UNIJIBU
Kama kichwa kinavyosema namuomba mkuu BASHE aseme mafanikio na maendeleo ya BBT yake ilipofika maana mpaka sasa hatuoni matunda na hiyo kitu. Je, wamelima mazao ya mwaka mmoja au wamelipa zabibu tu?
Maana kuna madogo wanasema mpaka leo hiii bado wapo mtaani na hawajachukuliwa na waliochukuliwa wazazi wao wanalazimika kuwatumia pesa za kujikimu na BASHE hatumsikii akiongelea hicho kitu, hata wizara ya kilimo nayo imekaaa kimya.
Mfano MATI ILONGA walinunua chakula hao BBT wenyewe hakuna JITOKEZE BASHE UNIJIBU