MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Waziri wa kilimo ndg Hussein Bashe akihojiwa na DW amesema hili kupunguza mfumuko mkubwa wa bei hasahasa ya chakula, serikali imeamua kufungua maghala yake kadhaa ya chakula nchini kwenda kupunguza mfumuko wa bei.
Pia amedai ni nadra Sana kufungua maghala ila tu Kama itatokea njaa.
Pia amedai ni nadra Sana kufungua maghala ila tu Kama itatokea njaa.