inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Hivyo vinalimwa,havishuki toka mbinguni,Kuna binaadam wanaitwa wakulima,wananunua mbegu,mbolea,dawa na kulipa walimaji,wale hawapo hawalimi kukupa wewe nafuu ya maisha,Kama rahisi kalime upunguze makali ya maisha na uwauzie wengine Bei rahisiKuna watu hawana akili! Sijui kwa kuwa wao wanakula bure kwa hisani ya selikali,
Hivi Bashe hajui kama hapa ndipo tulipo? View attachment 2469625