Hivyo vinalimwa,havishuki toka mbinguni,Kuna binaadam wanaitwa wakulima,wananunua mbegu,mbolea,dawa na kulipa walimaji,wale hawapo hawalimi kukupa wewe nafuu ya maisha,Kama rahisi kalime upunguze makali ya maisha na uwauzie wengine Bei rahisi
Hivyo vinalimwa,havishuki toka mbinguni,Kuna binaadam wanaitwa wakulima,wananunua mbegu,mbolea,dawa na kulipa walimaji,wale hawapo hawalimi kukupa wewe nafuu ya maisha,Kama rahisi kalime upunguze makali ya maisha na uwauzie wengine Bei rahisi