uzuri wake nini so far au unasukumwa na unavyomhua toka mkiwa shule pamojaNi kweli Bashe yupo vizuri tatizo mfumo na vipaumbele vyetu.
Tunapambana kuomba samaki Badala maarifa na vitendea kazi tuvue wenyewe.Tunaishi ndani 18 za so called mabeberu kwa utegemezi.
Wakulima wa Tanzania ni kama kuku huria hawana na wala hawapati msaada kutoka kwa yeyote.
Ni lazima tupongeze pale ambapo mtu anafanya vizuri. Bashe ameleta muonekano mpya wa kilimo, ubunifu na uwekezaji.
Bashe akipewa muda kilimo cha Tanzania kitaenda mbali sana. Tatizo ni kwamba sehemu nyingine hakuna ubunifu wa kutosha. Huyu anajitahidi sana hasa ukizingatia ni kijana bado
Schoolmate wangu Mwigulu Nchemba naomba fanya juu chini riba za mikopo ziende chini. Fanya juu chini tuwe na fund ya mortgage ili kupunguza riba za mikopo ya nyumba… najua unanielewa. Nipe sababu ya kukusifia
Nakubaliana kabisa na wewe Bashe hicho kiti kimemtosha. Mapungufu Kama kawaida hayakosekani lakini ameonyesha kuwa anaweza kuleta mageuzi makubwa katika sekta ya kilimo kama akipata support . Mh Bashe kwa ukali ulioo nyesha kwa wale matapeli wanaochukua tumbaku ya wakulima bila kulipa onyesha pia kwa hawa wengine Kama kina JATU ambao Wana dalili zote za kuja kutapeli hela za watanzania kwa kisingizio Cha uwekezaji , kazi iendelee
Ni lazima tupongeze pale ambapo mtu anafanya vizuri. Hussein Bashe ameleta muonekano mpya wa kilimo, ubunifu na uwekezaji.
Bashe akipewa muda kilimo cha Tanzania kitaenda mbali sana. Tatizo ni kwamba sehemu nyingine hakuna ubunifu wa kutosha. Huyu anajitahidi sana hasa ukizingatia ni kijana bado
Schoolmate wangu Mwigulu Nchemba naomba fanya juu chini riba za mikopo ziende chini. Fanya juu chini tuwe na fund ya mortgage ili kupunguza riba za mikopo ya nyumba… najua unanielewa. Nipe sababu ya kukusifia
naungana na wewe Bashe is Good
Ni lazima tupongeze pale ambapo mtu anafanya vizuri. Hussein Bashe ameleta muonekano mpya wa kilimo, ubunifu na uwekezaji.
Bashe akipewa muda kilimo cha Tanzania kitaenda mbali sana. Tatizo ni kwamba sehemu nyingine hakuna ubunifu wa kutosha. Huyu anajitahidi sana hasa ukizingatia ni kijana bado
Schoolmate wangu Mwigulu Nchemba naomba fanya juu chini riba za mikopo ziende chini. Fanya juu chini tuwe na fund ya mortgage ili kupunguza riba za mikopo ya nyumba… najua unanielewa. Nipe sababu ya kukusifia
Huu ujinga mwingine. Sio lazima ku comment for the sake ya ku comment.Mwambie mbolea imefika 120,000
Huo uzuri wake wala hauhitajiki. Arudishe mbolea bei ya mwaka jana 50000
hakuna kitu, anyway endeleeni kuwa na imani mtashtuka kumekuchaBashe ni kijana smart anajuwa anachofanya hakurupuki anayo maono na nia ya dhati kukuza kilimo akiwa kama waziri wa wizara shida yetu hawa wengine alichoongelea hapa kama Africa je wako pamoja katika hili na kulitekeleza kama sera ya nchi za Africa kwa maana kufungua masoko huru kwa bidhaa za kilimo nchi za Africa sababu demand ni kubwa sana. Mimi naimani tuko katika njia sahihi tukiongozwa na Bashe katika wizara hii. Kijana ana pontetial ya kuwa juu zaidi ya hapo.
Kama ni mchapa kazi kwanini asiende kwao Somalia akawasaidie?
Ni lazima tupongeze pale ambapo mtu anafanya vizuri. Hussein Bashe ameleta muonekano mpya wa kilimo, ubunifu na uwekezaji.
Bashe akipewa muda kilimo cha Tanzania kitaenda mbali sana. Tatizo ni kwamba sehemu nyingine hakuna ubunifu wa kutosha. Huyu anajitahidi sana hasa ukizingatia ni kijana bado
Schoolmate wangu Mwigulu Nchemba naomba fanya juu chini riba za mikopo ziende chini. Fanya juu chini tuwe na fund ya mortgage ili kupunguza riba za mikopo ya nyumba… najua unanielewa. Nipe sababu ya kukusifia
Amewatuma?Bashe ni kijana smart anajuwa anachofanya hakurupuki anayo maono na nia ya dhati kukuza kilimo akiwa kama waziri wa wizara shida yetu hawa wengine alichoongelea hapa kama Africa je wako pamoja katika hili na kulitekeleza kama sera ya nchi za Africa kwa maana kufungua masoko huru kwa bidhaa za kilimo nchi za Africa sababu demand ni kubwa sana. Mimi naimani tuko katika njia sahihi tukiongozwa na Bashe katika wizara hii. Kijana ana pontetial ya kuwa juu zaidi ya hapo.
Yatakuwa mahaba tuAnajitahidi...
Kama vileAmewatuma?
Ni Waziri ambaye yuko serious na kazi yake na ni mbunifu na mchapakazi !!Ni mzuri wa sura au??
Mnapima watu kwa kupiga domo. Waziri wa Kilimo apimwe kwa kukuza sekta ya kilimo. Pembejeo bei juu, kilimo cha kutegemea mvua,wakulima wanalimia jembe la mkono, vyama vya msingi vinachelewesha malipo ya wakulima,bei za mazao sio stable, scheme zipo chache,hizo chache zimechoka
Halafu ndezi mmoja ananiambia Bashe ni waziri mzuri. Acha udalali kijana,kafanye kazi
Unapoingiza hoja za kibaguzi maana yake umeshafilisika kichwani - Julius Nyerere 1995.Kama ni mchapa kazi kwanini asiende kwao Somalia akawasaidie?
Tukianza kuchunguzana kwa asili utakuta hata wewe asili yako sio Tanganyika.Kama ni mchapa kazi kwanini asiende kwao Somalia akawasaidie?
Ni kabila gani huyo msomali?Tukianza kuchunguzana kwa asili utakuta hata wewe asili yako sio Tanganyika.
Unabisha jaribu kwenye ancenstry.com.
You are smarter than that.
Ku comment hivyo inapunguza hadhi yako