Bashe ni Waziri mzuri na mchapakazi

Bashe ni Waziri mzuri na mchapakazi

Mwambie mbolea imefika 120,000

Huo uzuri wake wala hauhitajiki. Arudishe mbolea bei ya mwaka jana 50000
Nashangaa Bashe naye ana chawa wake,
MBOLEA haishikiki, uzalishaji sijui utakuwaje mwaka huu,
Mwaka jana nilibakisha MBOLEA kidogo ndiyo imesaidia kupunguza machungu ya mwaka huu!
 
Waziri Bashe anafanikiwa kwa kuwa ametokea nje ya mfumo yaani alikuwa 'private sector' na mawazo yake si ya kirasimu.. tofauti na Mawaziri wengine kama Fedha n.k.
Ni mtu anayesikiliza na kuchukua ushauri.. Anaenda kwa spidi nzuri..
Wengine tulishaona umahiri wake hivyo kumshauri mapema..
 
Huu ujinga mwingine. Sio lazima ku comment for the sake ya ku comment.
Bashe ndio anapanga bei ya mbolea?
Soma kidogo somo la biashara utajua supply na demand na inflation.
Mkuu Tui hivi ni nani anaratibu, kupanga na kutekeleza masuala ya sekta ya kilimo ikiwa ni pamoja na bei za pembejeo za kilimo kama sio Wizara ya Kilimo?
 


Ni lazima tupongeze pale ambapo mtu anafanya vizuri. Hussein Bashe ameleta muonekano mpya wa kilimo, ubunifu na uwekezaji.

Bashe akipewa muda kilimo cha Tanzania kitaenda mbali sana. Tatizo ni kwamba sehemu nyingine hakuna ubunifu wa kutosha. Huyu anajitahidi sana hasa ukizingatia ni kijana bado

Schoolmate wangu Mwigulu Nchemba naomba fanya juu chini riba za mikopo ziende chini. Fanya juu chini tuwe na fund ya mortgage ili kupunguza riba za mikopo ya nyumba… najua unanielewa. Nipe sababu ya kukusifia

Bashe ni mzalendo zaidi ya anavyojulikana......

#Siempre JMT🙏
 
I have no complaints, ni kati ya mawaziri wanaojua hili ni taifa masikini linahitaji seriousness, sio upuuzi upuuzi 💯
 
Mtu amezaliwa Tanzania anakuwa msomali Tena? 😂😂, ametokea tabora hapo


Au kuna kitu wengine hatujui ? Sisi tunataka watu serious, tumeshachoka na viongozi vilaza.
Wewe ukiwa mzaramo mtoto wako akizaliwa Moshi anakuwa mchaga?
 
Back
Top Bottom