Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kwani Julius alikuwa ni malaika? enzi yake ilishapitaUnapoingiza hoja za kibaguzi maana yake umeshafilisika kichwani - Julius Nyerere 1995.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Julius alikuwa ni malaika? enzi yake ilishapitaUnapoingiza hoja za kibaguzi maana yake umeshafilisika kichwani - Julius Nyerere 1995.
Basi sawaKama vile
Ulienda zake na makaburu !!Ni kabila gani huyo msomali?
Hakuna ubaguzi, kuna mtanzania yoyote ni balozi wa nyumba 10 huko Somalia?Ubaguzi
Ulienda zake na makaburu !!
Kwani mtanzania anakuwaje ?Hakuna ubaguzi, kuna mtanzania yoyote ni balozi wa nyumba 10 huko Somalia?
Acha maswali ya kidezi basi dingiKwani mtanzania anakuwaje ?
Nashangaa Bashe naye ana chawa wake,Mwambie mbolea imefika 120,000
Huo uzuri wake wala hauhitajiki. Arudishe mbolea bei ya mwaka jana 50000
Ujumbe unaishi bado haujafa.Kwani Julius alikuwa ni malaika? enzi yake ilishapita
Mkuu kwani zile haziendi kwenye Project ya tramwayItarudi tu baada ya zile hela euros million 80 mama alipewa ufaransa kwa ajili ya kilimo.
Mkuu Tui hivi ni nani anaratibu, kupanga na kutekeleza masuala ya sekta ya kilimo ikiwa ni pamoja na bei za pembejeo za kilimo kama sio Wizara ya Kilimo?Huu ujinga mwingine. Sio lazima ku comment for the sake ya ku comment.
Bashe ndio anapanga bei ya mbolea?
Soma kidogo somo la biashara utajua supply na demand na inflation.
Ukaburu huoUnapoingiza hoja za kibaguzi maana yake umeshafilisika kichwani - Julius Nyerere 1995.
Ni lazima tupongeze pale ambapo mtu anafanya vizuri. Hussein Bashe ameleta muonekano mpya wa kilimo, ubunifu na uwekezaji.
Bashe akipewa muda kilimo cha Tanzania kitaenda mbali sana. Tatizo ni kwamba sehemu nyingine hakuna ubunifu wa kutosha. Huyu anajitahidi sana hasa ukizingatia ni kijana bado
Schoolmate wangu Mwigulu Nchemba naomba fanya juu chini riba za mikopo ziende chini. Fanya juu chini tuwe na fund ya mortgage ili kupunguza riba za mikopo ya nyumba… najua unanielewa. Nipe sababu ya kukusifia
Mtu amezaliwa Tanzania anakuwa msomali Tena? 😂😂, ametokea tabora hapoKama ni mchapa kazi kwanini asiende kwao Somalia akawasaidie?
Tuanze na wewe. Wewe ni kabila gani?M iraqw au?Ni kabila gani huyo msomali
Akiwa serious hata mtu wa nje sawa?Mtu amezaliwa Tanzania anakuwa msomali Tena? 😂😂, ametokea tabora hapo
Au kuna kitu wengine hatujui ? Sisi tunataka watu serious, tumeshachoka na viongozi vilaza.
Wewe ukiwa mzaramo mtoto wako akizaliwa Moshi anakuwa mchaga?Mtu amezaliwa Tanzania anakuwa msomali Tena? 😂😂, ametokea tabora hapo
Au kuna kitu wengine hatujui ? Sisi tunataka watu serious, tumeshachoka na viongozi vilaza.
Mbolea hatuzalishi sisi,kushika sidhani,inatoka arabuni hukoItarudi tu baada ya zile hela euros million 80 mama alipewa ufaransa kwa ajili ya kilimo.