Bashe: Rais hataki utani, amedhamiria kuleta mapinduzi ya kilimo kupitia umwagiliaji

Bashe: Rais hataki utani, amedhamiria kuleta mapinduzi ya kilimo kupitia umwagiliaji

Waziri, tupatieni Sera ya kilimo cha umwagiliaji mnayoitumia sasa kama Serikali, sambamba na sheria / kanuni zake. Then tupime kila Wilaya/ Halmashauri nchini utekelezaji wake umefikia kiwango kipi.

Maneno matupu tushayachoka.
 
Umejaribu kufuatilia mvutano ulokuwepo na Mpina.
Je umeshamsikiliza Mpina na msingi wa hoja zake zidi ya huyo bwana ?!
Achana na upuuzi wa mpina ,hoja pekee ya maana ya Mpina ni mbegu fake na Kwa nini mbegu hizo fake ziuzwe bei kubwa.
 
Achana na upuuzi wa mpina ,hoja pekee ya maana ya Mpina ni mbegu fake na Kwa nini mbegu hizo fake ziuzwe bei kubwa.


Na ile ya kampuni zisizo na sifa kupewa vibari vya kuingiza sukari nchini je ??
Kuna nini nyuma yake ?
Kwanini utaratibu usizingatiwe ?
Hata hivyo uongizwajwi wa sukari nchini kwa nini usiwe huru kila mwenye Mtaji aagize kwa nguvu ya soko ?
Kwanini waachwe watu wachache tu au mtu mmoja miaka yote ni yeye tu monopolist na kufaidika peke yake na wanae tu ?
Hii si Sawa ?
Au anakula na wakubwa ?
 
Na ile ya kampuni zisizo na sifa kupewa vibari vya kuingiza sukari nchini je ??
Kuna nini nyuma yake ?
Kwanini utaratibu usizingatiwe ?
Hata hivyo uongizwajwi wa sukari nchini kwa nini usiwe huru kila mwenye Mtaji aagize kwa nguvu ya soko ?
Kwanini waachwe watu wachache tu au mtu mmoja miaka yote ni yeye tu monopolist na kufaidika peke yake na wanae tu ?
Hii si Sawa ?
Au anakula na wakubwa ?
Haina mashiko maana sukari ililetwa
 
Haina mashiko maana sukari ililetwa

Ishu sio kuletwa tu bali je ililetwa kwa kufuata utaratibu ulowekwa kwa mujibu ?
Wewe ni msomi ? Ingawa usomi si hoja sana siku hizi sababu ya mifumo ya utolewaji elimu iliyopo ni mashaka. !
Miongoni mwa namna ya kupima kuona iwapo kuna dalili ya rushwa kwenye manunuzi ya umma ni nini na nini ?
Mojawapo ni ukiukwaji wa taratibu zilizowekwa kama ulikuwa hujui.
Ingawa si kila Penye utaratibu kufuatwa itakuwa na maana Kwamba hapakuwa na vitendo vya rushwa pia hutegemea na other facts.
Utaratibu unaweza kufuatwa na vitendo vya rushwa kufanyika .
Lakini kutofuata utaratibu on the first place kutaashiria kwa kiasi kikubwa vitendo vya rushwa ?!
 
Ishu sio kuletwa tu bali je ililetwa kwa kufuata utaratibu ulowekwa kwa mujibu ?
Wewe ni msomi ? Ingawa usomi si hoja sana siku hizi sababu ya mifumo ya utolewaji elimu iliyopo ni mashaka. !
Miongoni mwa namna ya kupima kuona iwapo kuna dalili ya rushwa kwenye manunuzi ya umma ni nini na nini ?
Mojawapo ni ukiukwaji wa taratibu zilizowekwa kama ulikuwa hujui.
Ingawa si kila Penye utaratibu kufuatwa itakuwa na maana Kwamba hapakuwa na vitendo vya rushwa pia hutegemea na other facts.
Utaratibu unaweza kufuatwa na vitendo vya rushwa kufanyika .
Lakini kutofuata utaratibu on the first place kutaashiria kwa kiasi kikubwa vitendo vya rushwa ?!
Utaratibu sio muhimu kama uwepo wa sukari
 
Back
Top Bottom