Lakini si angalao anaanzisha mjadala, watu wajifunze na kujua maswala na matatizo ya kilimo?"Kama una hela nunua ardhi ajiri kijana wa chuo kikuu halafu zalisha".
Kwa pembejeo zipi na ruzuku zisizoeleweka. Hata kilimo cha mdomo kama anachokitoa yeye sio kilimo.
Kwa upande huo nadhani anastahili kuungwa mkono.