Bashe: Wananchi acheni kulima kwa Twitter na WhatsApp

Bashe: Wananchi acheni kulima kwa Twitter na WhatsApp

"Kama una hela nunua ardhi ajiri kijana wa chuo kikuu halafu zalisha".
Kwa pembejeo zipi na ruzuku zisizoeleweka. Hata kilimo cha mdomo kama anachokitoa yeye sio kilimo.
Lakini si angalao anaanzisha mjadala, watu wajifunze na kujua maswala na matatizo ya kilimo?

Kwa upande huo nadhani anastahili kuungwa mkono.
 
"Kama una hela nunua ardhi ajiri kijana wa chuo kikuu halafu zalisha".
Kwa pembejeo zipi na ruzuku zisizoeleweka. Hata kilimo cha mdomo kama anachokitoa yeye sio kilimo.
Ni hela kiasi gani unapaswa kuwa nayo ili kuajiri kijana wa chuo kikuu? Kumbuka vijana wengi wa vyuo vikuu wana high expectations, huku wakiwa hawapendi kazi ngumu.
 
Ni hela kiasi gani unapaswa kuwa nayo ili kuajiri kijana wa chuo kikuu? Kumbuka vijana wengi wa vyuo vikuu wana high expectations, huku wakiwa hawapendi kazi ngumu.
Bashe ndio ana majibu yote [emoji16][emoji16]
 
"Kama una hela nunua ardhi ajiri kijana wa chuo kikuu halafu zalisha".
Kwa pembejeo zipi na ruzuku zisizoeleweka. Hata kilimo cha mdomo kama anachokitoa yeye sio kilimo.
Kulima mpaka upewe ruzuku!?..
 
Ni hela kiasi gani unapaswa kuwa nayo ili kuajiri kijana wa chuo kikuu? Kumbuka vijana wengi wa vyuo vikuu wana high expectations, huku wakiwa hawapendi kazi ngumu.
Unaajiri wa SUA,siyo mtu kasoma nursing unampeleka shamba
 
Ndio maana amesema kama una pesa ajiri watu wakusaidie na sio kufanya kilimo cha mtandaoni Lakini pia Katika kuleta mageuzi kwenye kilimo, Serikali ya Rais Samia Suluhu imetenga ekari 160,000 kwa ajili ya mashamba ya vijana, huku wakitaraji kugawa kwa vijana 40,000.
Wapi huko?
 
Ndio maana amesema kama una pesa ajiri watu wakusaidie na sio kufanya kilimo cha mtandaoni Lakini pia Katika kuleta mageuzi kwenye kilimo, Serikali ya Rais Samia Suluhu imetenga ekari 160,000 kwa ajili ya mashamba ya vijana, huku wakitaraji kugawa kwa vijana 40,000.
nishawahii kutoa topic humu vijana walime na assistance serikali ifanye, tuna arable land kubwa,nafurahi kuona serikali inasikiliza,...
 
Back
Top Bottom