Lakini si angalao anaanzisha mjadala, watu wajifunze na kujua maswala na matatizo ya kilimo?"Kama una hela nunua ardhi ajiri kijana wa chuo kikuu halafu zalisha".
Kwa pembejeo zipi na ruzuku zisizoeleweka. Hata kilimo cha mdomo kama anachokitoa yeye sio kilimo.
Ni hela kiasi gani unapaswa kuwa nayo ili kuajiri kijana wa chuo kikuu? Kumbuka vijana wengi wa vyuo vikuu wana high expectations, huku wakiwa hawapendi kazi ngumu."Kama una hela nunua ardhi ajiri kijana wa chuo kikuu halafu zalisha".
Kwa pembejeo zipi na ruzuku zisizoeleweka. Hata kilimo cha mdomo kama anachokitoa yeye sio kilimo.
Bashe ndio ana majibu yote [emoji16][emoji16]Ni hela kiasi gani unapaswa kuwa nayo ili kuajiri kijana wa chuo kikuu? Kumbuka vijana wengi wa vyuo vikuu wana high expectations, huku wakiwa hawapendi kazi ngumu.
Kulima mpaka upewe ruzuku!?.."Kama una hela nunua ardhi ajiri kijana wa chuo kikuu halafu zalisha".
Kwa pembejeo zipi na ruzuku zisizoeleweka. Hata kilimo cha mdomo kama anachokitoa yeye sio kilimo.
Unaajiri wa SUA,siyo mtu kasoma nursing unampeleka shambaNi hela kiasi gani unapaswa kuwa nayo ili kuajiri kijana wa chuo kikuu? Kumbuka vijana wengi wa vyuo vikuu wana high expectations, huku wakiwa hawapendi kazi ngumu.
Unaajiri wa SUA,siyo mtu kasoma nursing unampeleka shamba
[emoji2][emoji2][emoji2]Watu wanalimiwa hakuna hata shamba huyo JATU aliulizwa ghala la mazao liko wapi hana
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Wapi huko?Ndio maana amesema kama una pesa ajiri watu wakusaidie na sio kufanya kilimo cha mtandaoni Lakini pia Katika kuleta mageuzi kwenye kilimo, Serikali ya Rais Samia Suluhu imetenga ekari 160,000 kwa ajili ya mashamba ya vijana, huku wakitaraji kugawa kwa vijana 40,000.
Captive of your own negativityWa SUA si ndio hao hao motivational speakers.
nishawahii kutoa topic humu vijana walime na assistance serikali ifanye, tuna arable land kubwa,nafurahi kuona serikali inasikiliza,...Ndio maana amesema kama una pesa ajiri watu wakusaidie na sio kufanya kilimo cha mtandaoni Lakini pia Katika kuleta mageuzi kwenye kilimo, Serikali ya Rais Samia Suluhu imetenga ekari 160,000 kwa ajili ya mashamba ya vijana, huku wakitaraji kugawa kwa vijana 40,000.
That's reality not negativity.Captive of your own negativity
Wewe sio mkulima aisee. Ungekua mkulima ungejua hali ya mbolea ipoje sasa tangu walete mambo ya ruzuku.Kulima mpaka upewe ruzuku!?..
Hukupata namba baada ya kujiandikisha!?...Wewe sio mkulima aisee. Ungekua mkulima ungejua hali ya mbolea ipoje sasa tangu walete mambo ya ruzuku.