Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Kwasababu la tano litakataliwa na VARUsm 4-0 Yanga
0-0 namba yangu ntakutumia PM usikose. Nitumia hela ya Mboga hiyoWeka ubashiri wako na ulambe elfu tano hiyo kesho, mwisho wa ubashiri ni saa 3:59 usiku wa kesho, yaani dakika 1 kabla ya mechi kuanza.
Haya tiririka na serereka
Hilo moja la Yanga litakuwa la USM ALGER kujifungaUsm Alger 3 vs Yanga 1
Hiyo ni kishabiki na ni simple sana kila mtu anaiwezaUSM Algers 0-2 young Africans
Acha kutuchonganisha aisee inamaana hujui ubao ulishaonekana 4:0Weka ubashiri wako na ulambe elfu tano hiyo kesho, mwisho wa ubashiri ni saa 3:59 usiku wa kesho, yaani dakika 1 kabla ya mechi kuanza.
Haya tiririka na serereka
Utopwinyo anakufa 1-0 tenaWeka ubashiri wako na ulambe elfu tano hiyo kesho, mwisho wa ubashiri ni saa 3:59 usiku wa kesho, yaani dakika 1 kabla ya mechi kuanza.
Haya tiririka na serereka