Bashiru Ally ameongoza mazishi ya watoto walioungua moto huko Kyerwa Kagera kama nani?

Na inashangaza sana jambo hili halikubaliki hata kidogo.
 
kwisha habari yenu nyinyi Kagera mpaka hela ya tetemeko mrudishe , wanafiki wakubwa !
ninashaka huenda ww ndiye mkuu wa kambi ya upinzani humu jf.. nahuenda unamaslahi mapana kwa kusimama kidete na chama cha wasaliti cdm🤔🤔
 
ninashaka huenda ww ndiye mkuu wa kambi ya upinzani humu jf.. nahuenda unamaslahi mapana kwa kusimama kidete na chama cha wasaliti cdm🤔🤔
tutahakikisha ccm inang'olewa
 
Nawe kufa ili msimualike
 
Tungejua Sheria inasemaje kuhusu wageni rasmi ingetusaidia kuona kwamba aliyemualika Bashiru hakufuata Sheria au la.
 
Rambi rambi walitoa bei gani!?
Kwenye tetemeko alienda?
 
Katibu mkuu wa chama tawala
 
CCM wanatafuta kura za huruma mpaka msibani
 
Moto uliletwa na serikali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…