Bashiru Ally ameongoza mazishi ya watoto walioungua moto huko Kyerwa Kagera kama nani?

Bashiru Ally ameongoza mazishi ya watoto walioungua moto huko Kyerwa Kagera kama nani?

Kwa CCN kila kitu ni siasa.... Misiba na maafa kwa CCM ni mtaji wa kisiasa.

Hapo malengo yake ni kugombea ubunge 2025.
Secretary General akagombee ubunge!?.. nisawa na Majaliwa au Pinda wakagombea udiwani.
 
Katibu mkuu wa Chama tawala unamlinganisha na DJ wa Ufipa?
 
ITV imemuonyesha Katibu Mkuu wa CCM ndugu Bashiru Ally akitajwa kuwa mgeni rasmi kwenye mazishi ya watoto 10 waliozikwa leo huko Kagera, sina shida na mtu yoyote kuhudhuria mazishi yoyote popote lakini kumpa cheo cha kuongoza mazishi mtu asiye na cheo chochote kwenye Serikali yetu ni dharau kubwa sana kwa wananchi na marehemu wao.
Utakua mchawi ukiwa mzee
Mambo madogo kama hayo mishipa ya shingo inakutoka,bashiru ni KM wa chama tawala,chenye dola
Bashiru anatoka sehemu ya tukio,kwa waislam kwenye kuzika ni suala dogo sana alikwenda kuwakilisha chama chake,chadema kama kawaida yenu hamziki,waandishi wakasema kaongoza mazishi
 
Utakua mchawi ukiwa mzee
Mambo madogo kama hayo mishipa ya shingo inakutoka,bashiru ni KM wa chama tawala,chenye dola
Bashiru anatoka sehemu ya tukio,kwa waislam kwenye kuzika ni suala dogo sana alikwenda kuwakilisha chama chake,chadema kama kawaida yenu hamziki,waandishi wakasema kaongoza mazishi
safari hii hamtapumua , mkileta uzushi tunawaumbua hapohapo , wanafiki wakubwa nyie !
 
safari hamtapumua , mkileta uzushi tunawaumbua hapohapo , wanafiki wakubwa nyie !
Rabid dogs!hii mikwara tumeizoea,kila uchaguzi hamlikosi hili neno safari hii hatutakubali
Wewe kidampa tu,Lissu na Mbowe wqnajua hawapati kura wanaomba Mungu wapate kura za ruzuku tu
 
Rabid dogs!hii mikwara tumeizoea,kila uchaguzi hamlikosi hili neno safari hii hatutakubali
Wewe kidampa tu,Lissu na Mbowe wqnajua hawapati kura wanaomba Mungu wapate kura za ruzuku tu
kila siku siyo jumapili
 
We jamaa unaakili ndogo kingese... Listen to ur self before u opt to spoke. Ndo umeandika nn hapo sasa...
Siasa zisikufanye umkufuru Mungu
 
ITV imemuonyesha Katibu Mkuu wa CCM ndugu Bashiru Ally akitajwa kuwa mgeni rasmi kwenye mazishi ya watoto 10 waliozikwa leo huko Kagera, sina shida na mtu yoyote kuhudhuria mazishi yoyote popote lakini kumpa cheo cha kuongoza mazishi mtu asiye na cheo chochote kwenye Serikali yetu ni dharau kubwa sana kwa wananchi na marehemu wao.

Kuleta kampeni za kishamba kwenye misiba isiyo ya kisiasa haikubaliki na hali hii ikiachwa iko siku itakuja kuleta machafuko kwenye misiba na kuharibu shughuli za watu, fanyeni siasa zenu majukwaani.

Napinga CCM chama kilichokongoroka kujaribu kutumia majanga kujinadi, marehemu hao ambao walikuwa watoto hawakuwahi kuwa na kadi za CCM, za chipukizi wala za UVCCM, hii haikubaliki hata kidogo.
Na bado mtakoma tu. Bashiru ni Mtanzania nyinyi mliovamia hamna chenu, mtajiuza kama malaya lakini hakuna wa kuwashobokea.
 
Joined May 2020 .
Sio big deal sana kwamba im new here.... Bro kuna mambo makubwa yamsingi yakudiscus sio vitu vidogo vidogo ambavyo havina maana asee...
Unajishushia heshima na kumkufuru Mungu wako tuu bila sababu
 
Back
Top Bottom