MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,500
Huyu wenu ni mbuzi tu mbele ya wafiwaKatibu Mkuu Wa CCM unafikiri ni sawa na huyo wenu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu wenu ni mbuzi tu mbele ya wafiwaKatibu Mkuu Wa CCM unafikiri ni sawa na huyo wenu?
Secretary General akagombee ubunge!?.. nisawa na Majaliwa au Pinda wakagombea udiwani.Kwa CCN kila kitu ni siasa.... Misiba na maafa kwa CCM ni mtaji wa kisiasa.
Hapo malengo yake ni kugombea ubunge 2025.
Thubutu !Rambi rambi walitoa bei gani!?
Kwenye tetemeko alienda?
Kitaifa Bashiru Ally hana lolote na wala hastahili kuongoza chochote kitaifa , hatutanyamazia huo upuuzi kamwe .Katibu mkuu wa Chama tawala unamlinganisha na DJ wa Ufipa?
Upuuzi ni mwingi sana awamu hii tena mwingine unafanywa bila aibu kabisa.Kitaifa Bashiru Ally hana lolote na wala hastahili kuongoza chochote kitaifa , hatutanyamazia huo upuuzi kamwe .
Utakua mchawi ukiwa mzeeITV imemuonyesha Katibu Mkuu wa CCM ndugu Bashiru Ally akitajwa kuwa mgeni rasmi kwenye mazishi ya watoto 10 waliozikwa leo huko Kagera, sina shida na mtu yoyote kuhudhuria mazishi yoyote popote lakini kumpa cheo cha kuongoza mazishi mtu asiye na cheo chochote kwenye Serikali yetu ni dharau kubwa sana kwa wananchi na marehemu wao.
safari hii hamtapumua , mkileta uzushi tunawaumbua hapohapo , wanafiki wakubwa nyie !Utakua mchawi ukiwa mzee
Mambo madogo kama hayo mishipa ya shingo inakutoka,bashiru ni KM wa chama tawala,chenye dola
Bashiru anatoka sehemu ya tukio,kwa waislam kwenye kuzika ni suala dogo sana alikwenda kuwakilisha chama chake,chadema kama kawaida yenu hamziki,waandishi wakasema kaongoza mazishi
Rabid dogs!hii mikwara tumeizoea,kila uchaguzi hamlikosi hili neno safari hii hatutakubalisafari hamtapumua , mkileta uzushi tunawaumbua hapohapo , wanafiki wakubwa nyie !
kila siku siyo jumapiliRabid dogs!hii mikwara tumeizoea,kila uchaguzi hamlikosi hili neno safari hii hatutakubali
Wewe kidampa tu,Lissu na Mbowe wqnajua hawapati kura wanaomba Mungu wapate kura za ruzuku tu
Acha kujifariji wewe,kwani unadhani na sisi tumelala?kila siku siyo jumapili
Ni mpumbavu sana... Siasa zinamfanya amkufuru hata Mungu wake....Mkuu, tulia basi! Ya nini utake kujidharirisha?
Kadiri unavyozidi kujibu, na hoja yako hii ya kuungaunga, ndivyo heshima yako inavyozidi kushuka!!
Joined May 2020 .We jamaa unaakili ndogo kingese... Listen to ur self before u opt to spoke. Ndo umeandika nn hapo sasa...
Siasa zisikufanye umkufuru Mungu
Jibu swali kapuku we !Ni mpumbavu sana... Siasa zinamfanya amkufuru hata Mungu wake....
Na bado mtakoma tu. Bashiru ni Mtanzania nyinyi mliovamia hamna chenu, mtajiuza kama malaya lakini hakuna wa kuwashobokea.ITV imemuonyesha Katibu Mkuu wa CCM ndugu Bashiru Ally akitajwa kuwa mgeni rasmi kwenye mazishi ya watoto 10 waliozikwa leo huko Kagera, sina shida na mtu yoyote kuhudhuria mazishi yoyote popote lakini kumpa cheo cha kuongoza mazishi mtu asiye na cheo chochote kwenye Serikali yetu ni dharau kubwa sana kwa wananchi na marehemu wao.
Kuleta kampeni za kishamba kwenye misiba isiyo ya kisiasa haikubaliki na hali hii ikiachwa iko siku itakuja kuleta machafuko kwenye misiba na kuharibu shughuli za watu, fanyeni siasa zenu majukwaani.
Napinga CCM chama kilichokongoroka kujaribu kutumia majanga kujinadi, marehemu hao ambao walikuwa watoto hawakuwahi kuwa na kadi za CCM, za chipukizi wala za UVCCM, hii haikubaliki hata kidogo.
Sio big deal sana kwamba im new here.... Bro kuna mambo makubwa yamsingi yakudiscus sio vitu vidogo vidogo ambavyo havina maana asee...Joined May 2020 .
Jibu swali kapuku we !