Bashiru imebaki stori tu

Kati ya watu wanaoteseka kiakili ni yeye
Jamaa kaporomoka kutoka KM-CCM hadi kuwa mwanachama wakawaida na Kutoka KMK kuwa mbunge wa kuteuliwa.

Stress alizonazo nauhakika 2025 Hagombei ubunge atarudi kushika chaki
 
Huo ndo mtazamo wa fisiemu wote
 
Jamaa kaporomoka kutoka KM-CCM hadi kuwa mwanachama wakawaida na Kutoka KMK kuwa mbunge wa kuteuliwa.

Stress alizonazo nauhakika 2025 Hagombei ubunge atarudi kushika chaki
Hawezi kushika chaki tena maana walishapiga mpunga wa kufa mtu
 
Dk. Bashiru was one of the strongest Makatibu Wakuu CCM has ever had and worked with one of the strongest Wenyeviiti CCM has ever had!
 
Binafsi mie Ni Chadema Ila SSH amemeacha mbali Sana Jiwe kiutendaji
 
SSH atawatesa Sana hadi ifike 2030 mtakuwa mumepiga mwayo hadi akili ziwakae sawa..

Weka kipimo cha kupimia uwezo wa Rais.
 
Wewe ni akili kubwa! Asante kwa darasa!
 
Acha kuteseka mkuu JIWE alikuwa mwamba wa vita na tayari mwendo kashaumaliza hadi sasa anakufanya umtajetaje kila mara. Hata huyo bashiru usifikri ni mbumbu hakuna asichokijuwa ndani ya ccm hadi ikulu . Muache apumzike
 
Acha kuteseka mkuu JIWE alikuwa mwamba wa vita na tayari mwendo kashaumaliza hadi sasa anakufanya umtajetaje kila mara. Hata huyo bashiru usifikri ni mbumbu hakuna asichokijuwa ndani ya ccm hadi ikulu . Muache apumzike
Hana ajuwalo huyo sukuma gang mwenzenu msaidieni atakata roho kumfuata mteuzi wake
 
Acha kuteseka mkuu JIWE alikuwa mwamba wa vita na tayari mwendo kashaumaliza hadi sasa anakufanya umtajetaje kila mara. Hata huyo bashiru usifikri ni mbumbu hakuna asichokijuwa ndani ya ccm hadi ikulu . Muache apumzike
Unamtetea mushuti mwenzenu
 
Dk. Bashiru was one of the strongest Makatibu Wakuu CCM has ever had and worked with one of the strongest Wenyeviiti CCM has ever had!
Bado upo kwenye ndoto za kitabu cha milima ya kolelo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…