Bashiru imebaki stori tu

Bashiru imebaki stori tu

Ndio kuimba kupokezana, zamu yake ya kuimba ishapita jiulize wewe mleta mada lini itakuwa zamu yako japo ufikie hatua aliyofikia Bashiru
Hakuna anayetamani kuwa katili au mwizi
 
Alitamba sana enzi za Jiwe.

Alikuwa anaongea kwa sauti ya mamlaka sana.

Aliigeuza CCM kuwa mali yake na kila aliyekwenda kinyume na atakavyo alimhukumu.

Kuondoka kwa Jiwe ikawa ndiyo mwisho wa kuvuma kwake na Ikulu sasa hivi anaiona tu kupitia TBC.

Tijifunze kuishi na watu vizuri maana hakuna aijuaye kesho yake.

View attachment 2252898
Hata wewe unayejaribu kufurahia anguko la mtu jifunze, utashangaa siku moja anakuongoza huyo, kama ambavyo siku moja utamtegemea mtoto wako ukiwa mzee
 
Hata wewe unayejaribu kufurahia anguko la mtu jifunze, utashangaa siku moja anakuongoza huyo, kama ambavyo siku moja utamtegemea mtoto wako ukiwa mzee
Labda akiwa jela siyo uraiani maana hana tena sifa
 
Mwizi kama mwizi na katili kama katili
Ha ha ha haaaa! Mbona unakiuka maelezo ya Mwenyekiti wenu wa chama wa kutotumia lugha za kuudhi au umeamia kwa Mwami Ruyagwa? Ha ha ha haaaa ha ha ha
 
Back
Top Bottom