Bashiru imebaki stori tu

Bashiru imebaki stori tu

Ha ha ha haaaa! Mbona unakiuka maelezo ya Mwenyekiti wenu wa chama wa kutotumia lugha za kuudhi au umeamia kwa Mwami Ruyagwa? Ha ha ha haaaa ha ha ha
Umeongea nini sasa hapo?
 
Alitamba sana enzi za Jiwe.

Alikuwa anaongea kwa sauti ya mamlaka sana.

Aliigeuza CCM kuwa mali yake na kila aliyekwenda kinyume na atakavyo alimhukumu.

Kuondoka kwa Jiwe ikawa ndiyo mwisho wa kuvuma kwake na Ikulu sasa hivi anaiona tu kupitia TBC.

Tijifunze kuishi na watu vizuri maana hakuna aijuaye kesho yake.

View attachment 2252898
No problem, muda ni mwalimu mzuri.
 
Back
Top Bottom