Bashiru kusuka au kunyoa - ni baada ya Kinana kuteuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti CCM

Bashiru kusuka au kunyoa - ni baada ya Kinana kuteuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti CCM

Itakumbukwa mwaka 2019 aliyekuwa Katibu mkuu wa CCM Bw. Bashiru aliwapuuza na kuwafananisha na mpira wa chandimu makatibu wakuu waliomtangulia Makamba na Kinana. Aidha aliwaambia wahamie upinzani kama hawawezi kwenda na kasi ya CCM mpya.

Haya yalitokea baada ya Wazee hawa kulalamika kuwa simu zao zimedukuliwa na wafuasi wa Magufuli aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM. Wengine ambao Bashiru aliwashughulikia ni January Makamba na Nape Nauye ambao wote hivi sasa ni mawaziri katika serikali ya Samia.

Mwingine aliyenyolewa bila maji na wembe wa Bashiru ni Benard Membe hadi akahamia ACT Wazalendo.
We pana jua yeye yote dudu moja; fisi kwa fisi?
 
Itakumbukwa mwaka 2019 aliyekuwa Katibu mkuu wa CCM Bw. Bashiru aliwapuuza na kuwafananisha na mpira wa chandimu makatibu wakuu waliomtangulia Makamba na Kinana. Aidha aliwaambia wahamie upinzani kama hawawezi kwenda na kasi ya CCM mpya.

Haya yalitokea baada ya Wazee hawa kulalamika kuwa simu zao zimedukuliwa na wafuasi wa Magufuli aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM. Wengine ambao Bashiru aliwashughulikia ni January Makamba na Nape Nauye ambao wote hivi sasa ni mawaziri katika serikali ya Samia.

Mwingine aliyenyolewa bila maji na wembe wa Bashiru ni Benard Membe hadi akahamia ACT Wazalendo.
Namuona Raisi Membe,na waziri mkuu January makamba or vise versa
 
Aongee nini anaona aibu kwa kuwa wengi aliokuwa anawashughulikia wamekuwa mabosi wake!
Hivi ukimkamata mwizi aliye Iba na akapelekwa mahakamani, kule mahakamani mwizi akatoa rushwa akaachiwa huru - je! Yule aliye mkamata, ataona aibu au itakuaje? Ni kweli ataona aibu! Hata huyo mhalifu akiwa bosi wa huyu aliye mkamata? Feeling ya aliye Kamata huyo mhalifu ni aibu?!
Mimi si fikiri ni aibu maana huyu bado ni mhalifu na mwingine bado ndiye aliubaini huo uhalifu!
 
Hivi ukimkamata mwizi aliye Iba na akapelekwa mahakamani, kule mahakamani mwizi akatoa rushwa akaachiwa huru - je! Yule aliye mkamata, ataona aibu au itakuaje? Ni kweli ataona aibu! Hata huyo mhalifu akiwa bosi wa huyu aliye mkamata? Feeling ya aliye Kamata huyo mhalifu ni aibu?!
Mimi si fikiri ni aibu maana huyu bado ni mhalifu na mwingine bado ndiye aliubaini huo uhalifu!
Hapa hakuna suala la wizi bali matumizi mabaya ya madaraka!
 
Uzuri wa hawa watoto wa mjini, wala hawanaga makelele. Wanajua kucheza rafu za kimyakimya, anaechezewa ndio atapiga kelele mwenyewe.

Hautasikia Nape anamsimanga Makonda, wala hautasikia Kinana anamsema Bashiru. Watoto wa mjini wanajua kumchinja kobe hakuhitaji papara wala kelele. Ni TIMING tu!
Wakati hayo yakitokea wewe na ukoo wako mnaendelea kuliwa na umasikini.

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo victor solomon unaamini kuwa CCM ilikuwa na nguvu mwaka 2015-20? Kweli Watanzania wengine vichwa vyao havina tofauti na matikiti.

Yaani Magufuli anapandikiza Wakurugenzi wa Halmashauri ambao walikuwa makada wa CCM, anamuweka Wilson Mahera kuwa Mkurugenzi wa NEC ambaye ni kada wa CCM na mwisho anaitumia Police kuiba uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2019 na uchaguzi Mkuu wa 2020!!

Wacha kujidanganya kuwa Magufuli alijenga CCM
Kwa hiyo ccm ina nguvu sasa hivi?

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Cyprian Majura Musiba, mwana harakati huru na mmiliki wa Tanzanite media anasemaje?
 
yaani CCM kama hawampendi Bashiru si wamuue / wamfute uraia aende burundi tuu! maana kila kukicha anaongezewa stress mwisho wa siku atajinyonga yule mzee.
Dunia rangi rangile, leo huyu kesho yule.

Hili ni somo kwamba ukipata cheo usimdharau wala kumtukana mtu. Chagua maneno yako kistaarabu ili baadae utakapoondoka kwenye madaraka kama alivyosema Mzee Mwinyi 'watu waandike historia yako ili isemwe kwa vizuri'
 
Ndiyo ajue kwamba katiba mpya ndiyo silaha pekee ya kupata demokrasia na maendeleo ya kweli.

Hapo lazima atii mamlaka tena kwa bidii zote bila why and how.
 
Siyo kwa maumivu yale aliyowapa wenzake
Hata wao nao wamewapa maumivu makao sana Watanzania. Bashiru aliwanyang'anya wanyang'anyi mali za CCM walixokuwa wamejimilikisha. Hivyo alikuwa sahihi
 
Dhidi ya wananchi au dhidi ya wenye chama?

Embu bainisha ni lipi hasa lililovuka mstari mwekundu kwa wananchi!?
Kwanza alifinya uhuru wa kutoa maoni na kuwabambikizia wanachama wenzake tuhuma ambazo hadi leo ameshindwa kuzithibitisha. Kwa kushirikiana na Magufuli waliwatia hofu na woga wa kukosoa madhambi yaliyokuwa yakifanyika ndani ya uongozi wa CCM!
 
Kwanza alifinya uhuru wa kutoa maoni na kuwabambikizia wanachama wenzake tuhuma ambazo hadi leo ameshindwa kuzithibitisha. Kwa kushirikiana na Magufuli waliwatia hofu na woga wa kukosoa madhambi yaliyokuwa yakifanyika ndani ya uongozi wa CCM!
Kila heri.
 
Itakumbukwa mwaka 2019 aliyekuwa Katibu mkuu wa CCM Bw. Bashiru aliwapuuza na kuwafananisha na mpira wa chandimu makatibu wakuu waliomtangulia Makamba na Kinana. Aidha aliwaambia wahamie upinzani kama hawawezi kwenda na kasi ya CCM mpya.

Haya yalitokea baada ya Wazee hawa kulalamika kuwa simu zao zimedukuliwa na wafuasi wa Magufuli aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM. Wengine ambao Bashiru aliwashughulikia ni January Makamba na Nape Nauye ambao wote hivi sasa ni mawaziri katika serikali ya Samia.

Mwingine aliyenyolewa bila maji na wembe wa Bashiru ni Benard Membe hadi akahamia ACT Wazalendo.
Hao ni watoto wa baba mmoja
 
Wakati makatibu wakuu wanaharibu chama wenyeviti wanakuwa na majukumu gani? Kwa hapa ni Kikwete na Magufuli!
Kazi yao kutafuta makatibu wakuu watakaoweza kukamata chama lakini kwa CCM haiwezekani kwani hakuna aliye msafi ndani ya kile chama.
 
Bashiru alikuwa sahihi, Makamba na Kinana ni wanafiki na ndiyo maana Makamba chama kilikuwa kinamfia kutokana na unafiki wake ndipo akatolewa kukiokoa kwa kupewa Kinana. Bahati mbaya Kinana naye akawa kama vile ama zaidi ya Makamba na ndiyo maana jiwe akampendekeza Bashiru. In short, achana na siasa maana ukija iendekeza utaishia kuwa kama Zitto, Nnape, Kinana, Makamba, jr., na Kikwete.
Mbona wewe hujaachana na siasa bali unazidi kujikita zaidi?
 
Back
Top Bottom