Bashiru kusuka au kunyoa - ni baada ya Kinana kuteuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti CCM

Bashiru kusuka au kunyoa - ni baada ya Kinana kuteuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti CCM

Uzuri wa hawa watoto wa mjini, wala hawanaga makelele. Wanajua kucheza rafu za kimyakimya, anaechezewa ndio atapiga kelele mwenyewe.

Hautasikia Nape anamsimanga Makonda, wala hautasikia Kinana anamsema Bashiru. Watoto wa mjini wanajua kumchinja kobe hakuhitaji papara wala kelele. Ni TIMING tu!
Huo ndiyo unaitwa ustaarabu.
Majuha ndiyo huonesha ubabe kwa makelele.
 
Itakumbukwa mwaka 2019 aliyekuwa Katibu mkuu wa CCM Bw. Bashiru aliwapuuza na kuwafananisha na mpira wa chandimu makatibu wakuu waliomtangulia Makamba na Kinana. Aidha aliwaambia wahamie upinzani kama hawawezi kwenda na kasi ya CCM mpya.

Haya yalitokea baada ya Wazee hawa kulalamika kuwa simu zao zimedukuliwa na wafuasi wa Magufuli aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM. Wengine ambao Bashiru aliwashughulikia ni January Makamba na Nape Nauye ambao wote hivi sasa ni mawaziri katika serikali ya Samia.

Mwingine aliyenyolewa bila maji na wembe wa Bashiru ni Benard Membe hadi akahamia ACT Wazalendo.
Duh, wazee Dunia inazunguka kwa kasi sana. Hili somo Bashiru alilopata pamojq na Udokta wake alishindwa kuweka akiba ya maneno na vitendo.
Amejifunza ila it's too late. Leo alikuwa anatoa macho kama mjusi alyebanwa kwenye mlango. Halafu hakuwa comfortable kabisa

IMG-20220401-WA0042.jpg
 
Itakumbukwa mwaka 2019 aliyekuwa Katibu mkuu wa CCM Bw. Bashiru aliwapuuza na kuwafananisha na mpira wa chandimu makatibu wakuu waliomtangulia Makamba na Kinana. Aidha aliwaambia wahamie upinzani kama hawawezi kwenda na kasi ya CCM mpya.

Haya yalitokea baada ya Wazee hawa kulalamika kuwa simu zao zimedukuliwa na wafuasi wa Magufuli aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM. Wengine ambao Bashiru aliwashughulikia ni January Makamba na Nape Nauye ambao wote hivi sasa ni mawaziri katika serikali ya Samia.

Mwingine aliyenyolewa bila maji na wembe wa Bashiru ni Benard Membe hadi akahamia ACT Wazalendo.
Chama kilitekwa na washamba
 
Kama kuna vitu vya kipumbavu vimewahi kufanywa na Rais wa Tanzania toka tupate uhuru, kimojawapo ilikuwa ni kuwarekodi hawa Makatibu Wakuu Wastaafu.

Kama Magufuli angekuwa na akili nzuri anhewatumia kama reference katika kujenga chama. Kinyume chake akaamza kuwa tape na kuzitupa voice notes kwenye mitandao ya kijamii.

Nawashangaa wanaomsikitia Magufuli, KIFO ilikuwa lazima kimpate kwa STRESS alizojijazia na USHAMBA alikuwa nao
Mbona hawakukijenga toka awali mpaka kilipotaka kuwafia na turufu yao ikabakia kwa jpm aliyekuja kuirudisha tena imani kwa wananchi?
Na lengo lao lilikuwa nini kumteta mwenyekiti wao,hao wazee wanafiki.
 
mimi binafsi kwa hali hii inavyoenda naanza kuamini kuwa MAGUFURI HAJAFA KIFO SAHIHI inawezekana alisitishiwa uhai wake na wahuni. Kwa haya yanayoendelea kutokea nchini napata wasiwasi sana. Ila naomba Mungu kama Magu alihujumiwa uhai wake basi waliohusika wote wapite njia hiyo hiyo 100percent. Wageuke tumbili🙁, waandamwe na mikosi na laana, wakose mvuto mahali popote wawe kama wamepakwa kinyesi usoni kwao, wapate mwisho kama walivyotoa mwisho kwa watu wengine
Ushasahau yaliyowakuta kina Lissu na Ben Saanane.... what goes around comes around though you don"t have evidence on his death.
 
Itakumbukwa mwaka 2019 aliyekuwa Katibu mkuu wa CCM Bw. Bashiru aliwapuuza na kuwafananisha na mpira wa chandimu makatibu wakuu waliomtangulia Makamba na Kinana. Aidha aliwaambia wahamie upinzani kama hawawezi kwenda na kasi ya CCM mpya.

Haya yalitokea baada ya Wazee hawa kulalamika kuwa simu zao zimedukuliwa na wafuasi wa Magufuli aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM. Wengine ambao Bashiru aliwashughulikia ni January Makamba na Nape Nauye ambao wote hivi sasa ni mawaziri katika serikali ya Samia.

Mwingine aliyenyolewa bila maji na wembe wa Bashiru ni Benard Membe hadi akahamia ACT Wazalendo.
Bashiru alikuwa sahihi, Makamba na Kinana ni wanafiki na ndiyo maana Makamba chama kilikuwa kinamfia kutokana na unafiki wake ndipo akatolewa kukiokoa kwa kupewa Kinana. Bahati mbaya Kinana naye akawa kama vile ama zaidi ya Makamba na ndiyo maana jiwe akampendekeza Bashiru. In short, achana na siasa maana ukija iendekeza utaishia kuwa kama Zitto, Nnape, Kinana, Makamba, jr., na Kikwete.
 
Bashiru alikuwa sahihi, Makamba na Kinana ni wanafiki na ndiyo maana Makamba chama kilikuwa kinamfia kutokana na unafiki wake ndipo akatolewa kukiokoa kwa kupewa Kinana. Bahati mbaya Kinana naye akawa kama vile ama zaidi ya Makamba na ndiyo maana jiwe akampendekeza Bashiru. In short, achana na siasa maana ukija iendekeza utaishia kuwa kama Zitto, Nnape, Kinana, Makamba, jr., na Kikwete.
Wakati makatibu wakuu wanaharibu chama wenyeviti wanakuwa na majukumu gani? Kwa hapa ni Kikwete na Magufuli!
 
Itakumbukwa mwaka 2019 aliyekuwa Katibu mkuu wa CCM Bw. Bashiru aliwapuuza na kuwafananisha na mpira wa chandimu makatibu wakuu waliomtangulia Makamba na Kinana. Aidha aliwaambia wahamie upinzani kama hawawezi kwenda na kasi ya CCM mpya.

Haya yalitokea baada ya Wazee hawa kulalamika kuwa simu zao zimedukuliwa na wafuasi wa Magufuli aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM. Wengine ambao Bashiru aliwashughulikia ni January Makamba na Nape Nauye ambao wote hivi sasa ni mawaziri katika serikali ya Samia.

Mwingine aliyenyolewa bila maji na wembe wa Bashiru ni Benard Membe hadi akahamia ACT Wazalendo.
Hivi alisharudisha ile hela alopiga baada ya magu kukata moto?
 
Mbona hawakukijenga toka awali mpaka kilipotaka kuwafia na turufu yao ikabakia kwa jpm aliyekuja kuirudisha tena imani kwa wananchi?
Na lengo lao lilikuwa nini kumteta mwenyekiti wao,hao wazee wanafiki.
Kwa hiyo victor solomon unaamini kuwa CCM ilikuwa na nguvu mwaka 2015-20? Kweli Watanzania wengine vichwa vyao havina tofauti na matikiti.

Yaani Magufuli anapandikiza Wakurugenzi wa Halmashauri ambao walikuwa makada wa CCM, anamuweka Wilson Mahera kuwa Mkurugenzi wa NEC ambaye ni kada wa CCM na mwisho anaitumia Police kuiba uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2019 na uchaguzi Mkuu wa 2020!!

Wacha kujidanganya kuwa Magufuli alijenga CCM
 
Kwanza elewa jambo moja. Siwezi kusimama bega kwa bega na mtu anaye haribu nchi. Kwa mfano simsapoti makamba na katakata yake ya umeme.

Pilo elewa kwamba siwezi kusimama bega kwa bega na mtu anaye tawala kwa kukandamiza wenzake. Mathalani magufuli akishirikiana na watendaji kazi alio wateua alisababisha watu waishi kama mashetani. Walimie meno, waishi kwa hofu, watu kupotea ubinywaji wa haki za watumishi n.k. kwahio kila upande una mabaya yake.
Kama ulikuwa hufuati sheria kukandamizwa ni haki yako kwa maslahi ya uma, kiongozi yeyote yule ni lazima alinde maslahi ya wengi huku wale wachache wanaojaribu kumkwamisha akiwadhibiti kisawasawa ili wengi wengi wanufaike.
 
Hili ni fundishon kwetu sisi kama binadamu kuwa madaraka ni koti la kuazima leo unalo kesho mwenye nalo kalichukua.
Muhimu tutende kwa mujibu wa sheria na taratibu.Na wamshukuru Mungu Rais wa sasa wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama yetu mpendwa Samiah Suluhu Hassan hana roho ya kisasi.
Kwanini upate hili fundisho leo kwa Bashiru na hukulipata wakati wa timu Msoga inashughulikiwa?

Mnafurahi vipi Upumbavu kurudi katika hatima zenu?
 
Back
Top Bottom