Baradhuli uitwaye johnthebaptist watia kinyaa kufuru. Ungekuwa na uelewa walau kiduchu ungeelewa kuwa jj Mnyika kaenda zaidi ya mahakamani. Wamefukuzwa chamani na nafasi zao zimetangazwa kuwa wazi. Wakwenda mahakamani sasa nani? Shauri lako Mashauri ( Mbowe na Matiko) analitupa kwa Matupa ( Tundu Lissu) likitoka kwa Simba ( wabunge wa cdm+ mashinji!) Wasindikize mahakamani watetee uanachama wao na hizo nafasi zao chamani. Vinginevyo funga hilo bakuli!Ndo umemaliza kuweka ushahidi..!? Tuna safari ndefu sana wallah...
Jina lenyewe la kuokoteza na ulewa pia wa kuokoteza. Ungesoma ukiri wa Stoic #145 usingetuletea utopolo wako hapa. Bandiko refu bure tu. Uliona wapi pumba kupembua chenga. Sikiliza tena clip. Kuna sehemu anang'aka kabisa kuwa hatokubali cheo chochote nchini. Itakuwa nchini Tanzania na nchini si chamani. Akili kama zako anahamaki kuwa hakuulizwa na m/ kiti. Je, angeulizwa angekataa? Hata uteuzi wa jana kauona mtandaoni. Hakuulizwa wala kushauriwa. Tanzanian style! Wote watakubali tu. Watake wasitake. Kaishateua. Hapangiwi. Sasa zamu yake. Atake asitake, akubali asikubali lazima atawale milele. Atapangiwa. Mwosha daima dumu huoshwa. Magufulification. Patrice Lumumba original angesema Mobutufication!Ewe mshirika wageuza maneno kwenda kinyume nyume, hapo anazungumzia kiti katibu mkuu wa chama sio kwenye utendaji wa serikali. Yaani umeenda ukachomoa kipande cha hotuba nzima halafu unaleta hapa kufumbata hoja yako mfu.
Kwa wenye akili wamethibitisha kwamba hajakatalia kukalia kiti hicho kwa muda mrefu hadi kuwa mkurugenzi wa nchi nzima. Kama unakitaka kiti hicho basi fuata taratibu za kuomba kupitia kwa mwenekiti wa chama hicho ijapokuwa itakuwa ni mazingaombwe kwa mtu kama wewe ulikunywa rangi za bendera ya v na kuapishwa na mizimu kukengeuka kwenda kwenye kijani.
Alikoteuliwa imezingatia utii , weledi, nidhamu na utendaji kazi uliotukuka na unaozingatia usawa kwa kadri anavyoamini. Ili kukata mzizi wa fitina unazozichomoza hapa weka picha mwendo ya picha mwendo ya hotuba kamili ili chenga zipembuliwe kuliko kuleta uchonganishi usio na mashiko yoyote.
Kabisa mkuuWanaliabisha taifa
Atakuwa baba yako etie.Hiyo ilikuwa ni kauli ya siasa ,hamna haja ya kukumbuka vitu vya kijinga kama kauli hizo kwa sasa,labda kuanzia 2026
Ikiwa atakataa uteuzi huo nitaamini maccm wamebadilika na wameanza kutenda ama kutekeleza kwa matendo kauli zao. Lakini nijuavyo wao husema yaliyo kinyume na nafsi zao... walioshangilia "akiporoja" sitoshangaa wakimshangilia tena...Wahenga wana msemo kuwa usije kuahidi jambo fulani ukiwa umefurahi sana au usije kutoa uamuzi ukiwa umekasirika.
Hapa mtani wangu Dkt. Bashiru naona alijisahau na uteuzi wa leo sijui kama ataukubali kulingana na kauli yake hii.
View attachment 1712686
Walishaliaibisha kitambo haya ni marudio tu Mkuu...Wanaliabisha taifa
Nanukuu tu sentensi yako Mkuu "...vitu kama kauli hizo za kijinga!!" Kisha natafakari ni mtu wa aina gani hutamka vitu vya kijinga... natafakari zaidi ni kina nani hushangilia na kuunga mkono huku wakisifia kauli za kijinga... nawaza tu ikiwa neno lile "malofa wapumbavu" kuna liliowalenga basi kuna shimo tunalokwenda kudumbukizwa...Hiyo ilikuwa ni kauli ya siasa ,hamna haja ya kukumbuka vitu vya kijinga kama kauli hizo kwa sasa,labda kuanzia 2026
Hii ni kupatwa kwa taifaWalishaliaibisha kitambo haya ni marudio tu Mkuu...
"Lowasa fisadi, Lowasa si fisadi" list of shame - Chadema haoHakuna kinacho niuma bali nasikitika kuona anakula matapishi yake na MATAGA kama wewemnafurahia kama mazuzu vile
Sasa hivi lowasa yupo ndani ya ccm mliko kuwa mnamporomoshea matusi ya nguoni."Lowasa fisadi, Lowasa si fisadi" list of shame - Chadema hao
Labda kwa uungwana angetengua kwanza kauli yake hii ya awali na kisha kusonga mbele!! Mbona prof Lipumba alitengua barua yake na akasonga mbele!!Wahenga wana msemo kuwa usije kuahidi jambo fulani ukiwa umefurahi sana au usije kutoa uamuzi ukiwa umekasirika.
Hapa mtani wangu Dkt. Bashiru naona alijisahau na uteuzi wa leo sijui kama ataukubali kulingana na kauli yake hii.
View attachment 1712686
Huyu mtu mna mpango wa kumzuia kutaka kufanya nini?Bila shaka unaikumbuka kauli hii, tunaomba uitunze, uiheshimu na kuitekeleza kama maneno yako yalivyotamka.
View attachment 1712608
ππππ Magoli yanapanuliwa tu1.Kiuhalisia alisema 'baada ya' hiyo aliyonayo ya ccm
2.Huwezi kukataa kumsaidia rais anapokuhitaji kwenye kazi Fulani.
3.Aliposema nikwamba alitaka wafitini ccmni wanaosema anatafuta cheo wajue yeye siyo msaka vyeo
4.Cheo alichokuwa nacho kilikuwa nanguvu sana (aliwashtua hata mawaziri).
Nk. Nk.
Umeona ehhππππ Magoli yanapanuliwa tu
Buji nakutafuta sikupati hewaniUmeona ehh
Ohoooooo!!!Buji nakutafuta sikupati hewani
Hiyo ilikuwa ni kauli ya siasa ,hamna haja ya kukumbuka vitu vya kijinga kama kauli hizo kwa sasa,labda kuanzia 2026
ππ kweli ukiwa mwongo basi uwe na kumbukumbuBila shaka unaikumbuka kauli hii, tunaomba uitunze, uiheshimu na kuitekeleza kama maneno yako yalivyotamka.
View attachment 1712608