Bashiru tunza ahadi yako ya kutokubali uteuzi mwingine wowote

Bashiru tunza ahadi yako ya kutokubali uteuzi mwingine wowote

Wewe unawaamini wanasiasa?

Kwa mfano Mnyika alivyosema hajaandika barua ya kuwatambulisha wabunge wateule akina Halima Mdee kwa Mahera, wewe ulimuamini?
Wewe leta ushahidi kama huu wa Mnyika ndiyo tukuelewe, Mnyika ni mjinga kiasi gani apeleke jina la mtu aliyekuwepo magereza na aweze kumtoa usiku, acha U ccm wako kudanganya watu.
 
Erythrocyte unajisahau sana ndugu yangu. Kama uliamini Mdee asingefanya usaliti kwa kuvunja katiba ya chama kwanini uendelee kuamini hivyo kwa Mnyika? Bado unawaamini wanasiasa au wakiwa ndani ya CHADEMA tu?
umesoma katiba ?
 
Wahenga wana msemo kuwa usije kuahidi jambo fulani ukiwa umefurahi sana au usije kutoa uamuzi ukiwa umekasirika.

Hapa mtani wangu Dkt. Bashiru naona alijisahau na uteuzi wa leo sijui kama ataukubali kulingana na kauli yake hii.


View attachment 1712686
Nikweli Sasa huu uteuzi ameukataa?huyu bwana hajitambui.
 
1.Kiuhalisia alisema 'baada ya' hiyo aliyonayo ya ccm
2.Huwezi kukataa kumsaidia rais anapokuhitaji kwenye kazi Fulani.
3.Aliposema nikwamba alitaka wafitini ccmni wanaosema anatafuta cheo wajue yeye siyo msaka vyeo
4.Cheo alichokuwa nacho kilikuwa nanguvu sana (aliwashtua hata mawaziri).
Nk. Nk.
 
Back
Top Bottom