Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Pipa na funikoNakubaliana na wewe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pipa na funikoNakubaliana na wewe!
Wewe una nini hadi umuone mwenzako kuwa ni mjinga?Wewe ndio mjinga ambaye hujui dhamana aliyonayo Katibu mkuu wa chama chako!
Niishie hapo.
Hahahaaaa...... Unaweza kujifunza kwa Halima James Mdee!Pipa na funiko
Yaani Mnyika anaogopa kwenda kutetea saini yake mahakamani?Wewe una nini hadi umuone mwenzako kuwa ni mjinga?
Kati ya wajinga nambari moja hapa Tanganyika ni basi ni wewe.
Bwashee hao wako vizuri Bwashee
Hahahaaaa..... Retired, Mrangi na tindo wanajimudu bwashee.
Bundle za wanafunzi zinawalinda!
Wewe leta ushahidi kama huu wa Mnyika ndiyo tukuelewe, Mnyika ni mjinga kiasi gani apeleke jina la mtu aliyekuwepo magereza na aweze kumtoa usiku, acha U ccm wako kudanganya watu.Wewe unawaamini wanasiasa?
Kwa mfano Mnyika alivyosema hajaandika barua ya kuwatambulisha wabunge wateule akina Halima Mdee kwa Mahera, wewe ulimuamini?
umesoma katiba ?Erythrocyte unajisahau sana ndugu yangu. Kama uliamini Mdee asingefanya usaliti kwa kuvunja katiba ya chama kwanini uendelee kuamini hivyo kwa Mnyika? Bado unawaamini wanasiasa au wakiwa ndani ya CHADEMA tu?
Akiweka nistueUmeambiwa tuwekee ushahidi wa hoja yako ili tukuamini
Hilo ni debe tupu tu tushalizoeaAkiweka nistue
Unapoteza bure calories zako kwa kuhangaika na hao MATAGAumesoma katiba ?
Niheri Mungu akunyime utajiri kuliko akunyime akili kama wewe alivyo kunyima akiliYaani Mnyika anaogopa kwenda kutetea saini yake mahakamani?
Mdee una mdhamini wewe mke mwenzakoHahahaaaa...... Unaweza kujifunza kwa Halima James Mdee!
Halima James Mdee jembe la Chadema!Mdee una mdhamini wewe mke mwenzako
Nikweli Sasa huu uteuzi ameukataa?huyu bwana hajitambui.Wahenga wana msemo kuwa usije kuahidi jambo fulani ukiwa umefurahi sana au usije kutoa uamuzi ukiwa umekasirika.
Hapa mtani wangu Dkt. Bashiru naona alijisahau na uteuzi wa leo sijui kama ataukubali kulingana na kauli yake hii.
View attachment 1712686
Ndiyo ma Dr wetu hapa bongoNikweli Sasa huu uteuzi ameukataa?huyu bwana hajitambui.
Acha ujinga tunazungumzia issue iliyoko mezani usitutoe kwenye reliWewe unawaamini wanasiasa?
Kwa mfano Mnyika alivyosema hajaandika barua ya kuwatambulisha wabunge wateule akina Halima Mdee kwa Mahera, wewe ulimuamini?
Sikiliza vizuri amesema hatakubali uteuzi wowote nchi hii. Kama unazungumzia serikali ya Kenya sawa ilà kwa Tanzania amesema hawezi kukibaliKwa anavyojieleza hapo ni kwenye chama(CCM) lakini hakusema kama teuzi za serikali hatokubali uteuzi.