johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kwani wewe hukumsikia alipowatahafharisha watumishi wa wizara yake wajihadhari na Corona?Uchaguzi wa Bawacha ushatangazwa. Kwani wewe uliamini Dr Mpango anaumwa?
Au ulidhani anawatania?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wewe hukumsikia alipowatahafharisha watumishi wa wizara yake wajihadhari na Corona?Uchaguzi wa Bawacha ushatangazwa. Kwani wewe uliamini Dr Mpango anaumwa?
Ameamua kuwadhalilisha wasomi wenzakeHuyu si ndio alisema watatumia mazumari na ngoma kwenye kampeni ? Halafu wakaleta sijui wasanii 200 [emoji1787]
Magoti yao yashaota sugu kisa kumpigia magoti mteuzi waoNa kweli wanafiki hawakosi majibu hasa enzi hizi za udikiteita ambapo kila kitu ni matakwa ya mtu mmoja
Ushahidi ni barua yenye sahihi ya J J Mnyika iliyoko kwa Mahera.Umeambiwa tuwekee ushahidi wa hoja yako ili tukuamini
Huu ni moja kati ya teuzi matata sana za JPM.Ameamua kuwadhalilisha wasomi wenzake
... ndio, ni ghilba tu..Siasa ni Si hasa!
Hahahaaaa....... Mtumishi afadhali umekuwa mkweli maana hao Bavicha bundle ni kizungumkuti!Ukipata nafasi msikilize hapa ila ni ndefu kidogo inaweza kutafuna bundle lako.
Nitajie mwanasiasa mmoja tu mkweli!Ukiwa mwongo pia uwe na kumbukumbu
Wewe ndio mjinga ambaye hujui dhamana aliyonayo Katibu mkuu wa chama chako!Ukitoa comment kama unaonekana ni mnafiki, na una uwendawazimu wa aina fulani. Hata mtu mwenye akili ndogo kabisa, hawezi kuwa na fikra kama hizo.
Ujinga ujinga unaouandika kama huu, unakufanya wanaJF wakuouuze na wakuone bwege. Hata siki moja ukileta jambo la maana, hakuna atakayelipa umuhimu, kwa kuamini kuwa hakuna hoja ya maana inayoweza kutoka kwa mwendawazimu.
Nakubaliana na wewe!Bora kuamini maneno ya kichaa anatembea uchi barabarani kuliko kuamini maneno ya mwanasiasa.
Siasa bila unafiki haiendi.
Hahahaaaa....... Mtumishi afadhali umekuwa mkweli maana hao Bavicha bundle ni kizungumkuti!
Hahahaaaa..... Retired, Mrangi na tindo wanajimudu bwashee.😂😂😂😂 bavicha huyu pesa ya kutosha IPO nilikuwa namtahadharisha tu Bwashee.
Erythrocyte unajisahau sana ndugu yangu. Kama uliamini Mdee asingefanya usaliti kwa kuvunja katiba ya chama kwanini uendelee kuamini hivyo kwa Mnyika? Bado unawaamini wanasiasa au wakiwa ndani ya CHADEMA tu?Jikite kwenye mada , Katibu Mkuu wa Chadema hana na wala hajawahi kuwa na uwezo wa kuteua wabunge wa viti maalum , usiwe bwege kwa kudhani unaweza kudanganya mtu humu , Katiba ya chadema inapatikana hata mitandaoni , isome uelewe
Dalili zote 3 zimetimia kwa Bashiru.
Kwahiyo kinakuuma nini aisee?Wahenga wana msemo kuwa usije kuahidi jambo fulani ukiwa umefurahi sana au usije kutoa uamuzi ukiwa umekasirika.
Hapa mtani wangu Dkt. Bashiru naona alijisahau na uteuzi wa leo sijui kama ataukubali kulingana na kauli yake hii.
View attachment 1712686
Hakuna kinacho niuma bali nasikitika kuona anakula matapishi yake na MATAGA kama wewemnafurahia kama mazuzu vileKwahiyo kinakuuma nini aisee?
Tatizo siasa zetu hapa Tanganyika ni zaidi ya usaniiUnapokuwa Kiongozi chunga sana kauli zako! Fikiri sana kabla ya kuongea chochote na siyo kuongea kwa mihemuko ndo baadaye unafikiri !
Dr Bashiru katuaibisha sanaErythrocyte unajisahau sana ndugu yangu. Kama uliamini Mdee asingefanya usaliti kwa kuvunja katiba ya chama kwanini uendelee kuamini hivyo kwa Mnyika? Bado unawaamini wanasiasa au wakiwa ndani ya CHADEMA tu?