Bashiru tunza ahadi yako ya kutokubali uteuzi mwingine wowote

Bashiru tunza ahadi yako ya kutokubali uteuzi mwingine wowote

Kujipendekeza, kujiapisha, kupayuka, kujisemea, upofu, upogo na kutochelea kesho. Sijui ataramba matapishi yake au kufunika kombe. Ila Mungu anamuona, umma unamuona na sijui kwanini aliyemteua alisahau nadhili hii ya kichovu. Unajua limbukeni na maskini akipata. Hawa madaktari wa Bongo wa kuungaunga wana taabu sina mfano. Kama Bashiru angekuwa muungwana, kama alivyojiapiza angekataa ua kuomba kikombe hiki kimuepuke. Kwa vile ni mchumia tumbo na mnafiki, atanywea na kula mahanjumat. Hawa ndiyo aina ya viongozi tulio nao. Kazi kweli kweli. Shame on you Bashiru.
Wahaya huwa wanaheshimu misimamo yao lkn huyo kaamua kuwa aibisha
 
Hi video kwa maudhui, hadhira na mazingira hoja ilikuwa ni dhana ya ulafi wa vyeo na madhara yake katika ustawi wa chama. Anatoka kwenye chama na anaenda kuwa mtendaji ndani ya serikali na hii kiu amekuwa nayo na kwa cheo cha KMK anakuwa na hadhi kama mawaziri na pia ni mkubwa kwa mawaziri. Ni cheo kizuri sana kwa heshima na kutumikia taifa. Ni cheo kisichotaka mtu mchoyo, mbinafsi, mbaguzi, na mambo yote yenye kuchochea mrama wa kiutendaji.
 
Wewe unawaamini wanasiasa?

Kwa mfano Mnyika alivyosema hajaandika barua ya kuwatambulisha wabunge wateule akina Halima Mdee kwa Mahera, wewe ulimuamini?
Ukitoa comment kama unaonekana ni mnafiki, na una uwendawazimu wa aina fulani. Hata mtu mwenye akili ndogo kabisa, hawezi kuwa na fikra kama hizo.

Ujinga ujinga unaouandika kama huu, unakufanya wanaJF wakuouuze na wakuone bwege. Hata siki moja ukileta jambo la maana, hakuna atakayelipa umuhimu, kwa kuamini kuwa hakuna hoja ya maana inayoweza kutoka kwa mwendawazimu.
 
Baada ya Mrema kushinda ubunge Temeke kwa hasira Mkapa akasema Temeke kunavurugu maduka yanachomwa moto! Vyombo vya habari vikipomhoji ni Temeke ipi maana hakuna matukio hayo, akakanusha kuwa hakuwahi kusema hivyo, zilipochezwa kanda zilizomrekidi akasema wamemkwoti vibaya!
Hakuna mama yake wala shangazi yake korona, vaeni barakoa kujikinga korona!
Tanzania Baby Class.
Bila maigizo ccm haingekuwepo Tanzania
 
Huyu si ndio alisema watatumia mazumari na ngoma kwenye kampeni ? Halafu wakaleta sijui wasanii 200 🤣
 
Jikite kwenye mada , Katibu Mkuu wa Chadema hana na wala hajawahi kuwa na uwezo wa kuteua wabunge wa viti maalum , usiwe bwege kwa kudhani unaweza kudanganya mtu humu , Katiba ya chadema inapatikana hata mitandaoni , isome uelewe
Hajateua bali ameandika barua kwa mujibu wa taratibu za chama na NEC.

Uwe unaelewa bwashee!
 
Ukitoa comment kama unaonekana ni mnafiki, na una uwendawazimu wa aina fulani. Hata mtu mwenye akili ndogo kabisa, hawezi kuwa na fikra kama hizo.

Ujinga ujinga unaouandika kama huu, unakufanya wanaJF wakuouuze na wakuone bwege. Hata siki moja ukileta jambo la maana, hakuna atakayelipa umuhimu, kwa kuamini kuwa hakuna hoja ya maana inayoweza kutoka kwa mwendawazimu.
Huyo tayari tulisha madharau kitambo mkuu
 
Back
Top Bottom