Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaweza kuifungua attachment uliyotuwekeaBila shaka unaikumbuka kauli hii, tunaomba uitunze, uiheshimu na kuitekeleza kama maneno yako yalivyotamka.
View attachment 1712608
inafunguka vizuri sanaSijaweza kuifungua attachment uliyotuwekea
HaihusianiNakumbuka kauli ya Lissu mkiniibia kula taingiza watu road. nae atakuwa mstari wa mbele
Kama anavyojuta JOSEPH KabilaNina uhakika naye anajuta
Hapa umechemka johnthebaptist . Mnyika angekuwa na nguvu gani ya kumtoa mtuhumiwa maabusu gerezani tena usiku ?!Wewe unawaamini wanasiasa?
Kwa mfano Mnyika alivyosema hajaandika barua ya kuwatambulisha wabunge wateule akina Halima Mdee kwa Mahera, wewe ulimuamini?
Jikite kwenye mada , Katibu Mkuu wa Chadema hana na wala hajawahi kuwa na uwezo wa kuteua wabunge wa viti maalum , usiwe bwege kwa kudhani unaweza kudanganya mtu humu , Katiba ya chadema inapatikana hata mitandaoni , isome ueleweWewe unawaamini wanasiasa?
Kwa mfano Mnyika alivyosema hajaandika barua ya kuwatambulisha wabunge wateule akina Halima Mdee kwa Mahera, wewe ulimuamini?
Ngoja tusubiri hiyo Kesho huenda akakanusha kuwa Video ni ya KutengenezwaWahenga wana msemo kuwa usije kuahidi jambo fulani ukiwa umefurahi sana au usije kutoa uamuzi ukiwa umekasirika.
Hapa mtani wangu Dkt. Bashiru naona alijisahau na uteuzi wa leo sijui kama ataukubali kulingana na kauli yake hii.
View attachment 1712686
Mwenzio kaweka ushahidi wa video, na wewe weka ushahidi tuaminiWewe unawaamini wanasiasa?
Kwa mfano Mnyika alivyosema hajaandika barua ya kuwatambulisha wabunge wateule akina Halima Mdee kwa Mahera, wewe ulimuamini?