Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BwasheeSiasa ni Si hasa!
Wahenga wana msemo kuwa usije kuahidi jambo fulani ukiwa umefurahi sana au usije kutoa uamuzi ukiwa umekasirika.
Hapa mtani wangu Dkt. Bashiru naona alijisahau na uteuzi wa leo sijui kama ataukubali kulingana na kauli yake hii.
View attachment 1712686
Uchaguzi wa Bawacha ushatangazwa. Kwani wewe uliamini Dr Mpango anaumwa?Wewe unawaamini wanasiasa?
Kwa mfano Mnyika alivyosema hajaandika barua ya kuwatambulisha wabunge wateule akina Halima Mdee kwa Mahera, wewe ulimuamini?
Bwashee
Ruge MutahabaDuniani ogopa Mungu na Teknolojia, labda atakataa Uteuzi
Kakimbilia Dubai baada ya kuporwa ulinzi wa kijeshiKama anavyojuta JOSEPH Kabila
Utasikia kauli yangu sio msahafuRaia ni wafukunyuku
Sema na kauli huwa zinabadilika
Ukimuuliza vipi tena kiongozi atakwambia
Binadamu hupanga na Mungu nae anapanga
Bangi tu hizi za ushamba wa cheo/mdaraka ambayo hkutegemea. Ulimbukeni wa cheo, unafiki uliopitilizaWahenga wana msemo kuwa usije kuahidi jambo fulani ukiwa umefurahi sana au usije kutoa uamuzi ukiwa umekasirika.
Hapa mtani wangu Dkt. Bashiru naona alijisahau na uteuzi wa leo sijui kama ataukubali kulingana na kauli yake hii.
View attachment 1712686
Tangu leo Mmawia nimekuogopa. watu mnajua kutunza kumbukumbu! Hongera sanaWahenga wana msemo kuwa usije kuahidi jambo fulani ukiwa umefurahi sana au usije kutoa uamuzi ukiwa umekasirika.
Hapa mtani wangu Dkt. Bashiru naona alijisahau na uteuzi wa leo sijui kama ataukubali kulingana na kauli yake hii.
View attachment 1712686
Huyu tunaye leo, hadi alambe matapishi yakeWahenga wana msemo kuwa usije kuahidi jambo fulani ukiwa umefurahi sana au usije kutoa uamuzi ukiwa umekasirika.
Hapa mtani wangu Dkt. Bashiru naona alijisahau na uteuzi wa leo sijui kama ataukubali kulingana na kauli yake hii.
View attachment 1712686
Nina namba yake ya simu, nitampigia nimkumbushe🙄🙄🙄🙄Huyu tunaye leo, hadi alambe matapishi yake
Atakujibu kauli yangu sio msahafu.Nina namba yake ya simu, nitampigia nimkumbushe🙄🙄🙄🙄
Unafiki ni moja ya sifa kubwa za maccm.
Wahenga wana msemo kuwa usije kuahidi jambo fulani ukiwa umefurahi sana au usije kutoa uamuzi ukiwa umekasirika.
Hapa mtani wangu Dkt. Bashiru naona alijisahau na uteuzi wa leo sijui kama ataukubali kulingana na kauli yake hii.
View attachment 1712686
Mpuuzi tu na yeye