Bashiru tunza ahadi yako ya kutokubali uteuzi mwingine wowote

Bashiru tunza ahadi yako ya kutokubali uteuzi mwingine wowote

Wahenga wana msemo kuwa usije kuahidi jambo fulani ukiwa umefurahi sana au usije kutoa uamuzi ukiwa umekasirika.

Hapa mtani wangu Dkt. Bashiru naona alijisahau na uteuzi wa leo sijui kama ataukubali kulingana na kauli yake hii.


View attachment 1712686
Baada ya Mrema kushinda ubunge Temeke kwa hasira Mkapa akasema Temeke kunavurugu maduka yanachomwa moto! Vyombo vya habari vikipomhoji ni Temeke ipi maana hakuna matukio hayo, akakanusha kuwa hakuwahi kusema hivyo, zilipochezwa kanda zilizomrekidi akasema wamemkwoti vibaya!
Hakuna mama yake wala shangazi yake korona, vaeni barakoa kujikinga korona!
Tanzania Baby Class.
 
Mwendelezo wa chama dola halisia kofia mbili.RC,DC watakuwa wakuu makatibu mikoa na wilaya.
Ubaguzi wa hali ya juu sana,wakati vijana walio maliza vyuo wamejazana kitaa na vyeti vyao.

Wao wanalimbikiza mavyeo kwa mtu mmoja kisa mwana ccm
 
Back
Top Bottom