Heci
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 3,591
- 6,114
Naomba namba yake ya simuDuniani ogopa Mungu na Teknolojia, labda atakataa Uteuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba namba yake ya simuDuniani ogopa Mungu na Teknolojia, labda atakataa Uteuzi
Thubutu! Njaa haijawahi kumuacha mtu salama. Leo anaapa.Bila shaka unaikumbuka kauli hii, tunaomba uitunze, uiheshimu na kuitekeleza kama maneno yako yalivyotamka.
View attachment 1712608
Kishapewa hadhi ya ubaloziThubutu! Njaa haijawahi kumuacha mtu salama. Leo anaapa.
Baada ya Mrema kushinda ubunge Temeke kwa hasira Mkapa akasema Temeke kunavurugu maduka yanachomwa moto! Vyombo vya habari vikipomhoji ni Temeke ipi maana hakuna matukio hayo, akakanusha kuwa hakuwahi kusema hivyo, zilipochezwa kanda zilizomrekidi akasema wamemkwoti vibaya!Wahenga wana msemo kuwa usije kuahidi jambo fulani ukiwa umefurahi sana au usije kutoa uamuzi ukiwa umekasirika.
Hapa mtani wangu Dkt. Bashiru naona alijisahau na uteuzi wa leo sijui kama ataukubali kulingana na kauli yake hii.
View attachment 1712686
Kwa anavyojieleza hapo ni kwenye chama(CCM) lakini hakusema kama teuzi za serikali hatokubali uteuzi.Watu mna kumbukumbu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila mkuu hata ungekuwa wewe unadhani ungekataa??
BTW Biblia inasema tusiape..viapo vya namna hiyo inavikataa
Sent using Jamii Forums mobile app
hujaweka link pleaseUkipata nafasi msikilize hapa ila ni ndefu kidogo inaweza kutafuna bundle lako.
Ccm wasanii sanaSiasa ni Si hasa!
Wanaliabisha taifaHao ndo sisiemu
Usishangae akayakataa maneno yake haya na akasema yametengenezwa na mabeberuogopa sana kitu kinaitwa technolojia hahahaha watu wamemkamata huyu bwana akatae sasa huo uteuzi tuone.
Kwa ccm hili ni sawa na sera zaoMiaka ya Mbele kauli ya Ruge Mutahaba ya kuogopa Mungu na Technolojia itakuwa wahenga walisema …
Utasikia ni fitina za cdmNgoja tusubiri hiyo Kesho huenda akakanusha kuwa Video ni ya Kutengenezwa
Ubaguzi wa hali ya juu sana,wakati vijana walio maliza vyuo wamejazana kitaa na vyeti vyao.Mwendelezo wa chama dola halisia kofia mbili.RC,DC watakuwa wakuu makatibu mikoa na wilaya.
Labda aweke video ya Ndugaye akimtandika mpinzani wake kule jimboni kwaoMwenzio kaweka ushahidi wa video, na wewe weka ushahidi tuamini