Bashiru v/s Sponsor: Kuna dalili mtu kutema au kutemeshwa mnofu soon

Bashiru v/s Sponsor: Kuna dalili mtu kutema au kutemeshwa mnofu soon

Bashiru ni takataka, wakati amechaguliwa katibu Mkuu wa CCM alisema hicho ni cheo chake cha mwisho, lakini akachaguliwa katibu Mkuu kiongozi na akakubali. Na sasa amepewa ubunge wa viti maalum na amekubali. Mtu wa aina hiyo hata akitemeshwa ulaji ni sawa na hana kitu atafanya.
Na sasa amepewa ubunge wa viti maalum na amekubali.[emoji23]
 
Bashiru huyu Ambae Ni zero form six
ambaye kaingizwa udsm na kinyondo with unequalify Marks na baadae kuja KUSOMA degree yake ya Mchongo

BASHIRU Ni muhuni Sana

Hana Exposure kuhusu SIASA
Za nchi hii Tanzania.
Je!
Wangapi waliosoma halali na utuambie wako wapi kuusaidia jamii saa hii?

Mko kazi kuwasimanga wale wanaokemea wizi wa baba zenu k* ma m*yo zenu nyinyi!
 
Bashiru ni takataka, wakati amechaguliwa katibu Mkuu wa CCM alisema hicho ni cheo chake cha mwisho, lakini akachaguliwa katibu Mkuu kiongozi na akakubali. Na sasa amepewa ubunge wa viti maalum na amekubali. Mtu wa aina hiyo hata akitemeshwa ulaji ni sawa na hana kitu atafanya.
Kwa hiyo ulitaka aache kazi ili umsaidie kulisha familia yake wewe?

Kwa hiyo unataka asitowe maoni yake kisa tu hajatumiza ahadi ya kukaa kijiweni kama wewe Tindo na wenzako?

Wewe una uhalali gani ambao yeye anaukosa wa kuikosoa hiyo serikali?

Wacheni Mambo ya kuishi kwa visasi kila uchao!

Nchi hii ni ya wote,na kila mmoja anayo haki ya kusema na kushauri.

Msijifanye kuwa na hatimiliki za mawazo yetu!

Kama mnazo Busara,zitumieni ili tuyaone Mafanikio yenu,sio kukaa mkiwananga watu,kisa mko pembeni kwa miaka mitano!
 
1. I dont understand why watu hawataki kumjibu bashiru kwa hoja na wamejikita zaidi kwenye personal attacks
2. I dont understand why vyama vya upinzani vinaungana na ccm asali kumshambulia Bashiru? Je wana maslahi ya Pamoja au ndo pinga pinga wa kila kitu kinachokatiza mbele yao?
 
Bashiru ni takataka, wakati amechaguliwa katibu Mkuu wa CCM alisema hicho ni cheo chake cha mwisho, lakini akachaguliwa katibu Mkuu kiongozi na akakubali. Na sasa amepewa ubunge wa viti maalum na amekubali. Mtu wa aina hiyo hata akitemeshwa ulaji ni sawa na hana kitu atafanya.
Nikama vile wakina mnyika na wenzake wa chadema walivyosema lowassa ni mwizi lakini mbowe akampa kijiti cha kuwania urais[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hao jamaa siku zao zinahesabika.
Alienguliwa Ndugai aliyekuwa na madaraka makubwa, hao wengine ni vifiksi tu.
Sie tunaandaa popcorn tukisubiri episode.
 
Hao jamaa siku zao zinahesabika.
Alienguliwa Ndugai aliyekuwa na madaraka makubwa, hao wengine ni vifiksi tu.
Sie tunaandaa popcorn tukisubiri episode.
Watu wengi wanaamini hivyo.

Je tutajuaje kama siyo drama pendwa za CCM?
 
Kwa hiyo ulitaka aache kazi ili umsaidie kulisha familia yake wewe?

Kwa hiyo unataka asitowe maoni yake kisa tu hajatumiza ahadi ya kukaa kijiweni kama wewe Tindo na wenzako?

Wewe una uhalali gani ambao yeye anaukosa wa kuikosoa hiyo serikali?

Wacheni Mambo ya kuishi kwa visasi kila uchao!

Nchi hii ni ya wote,na kila mmoja anayo haki ya kusema na kushauri.

Msijifanye kuwa na hatimiliki za mawazo yetu!

Kama mnazo Busara,zitumieni ili tuyaone Mafanikio yenu,sio kukaa mkiwananga watu,kisa mko pembeni kwa miaka mitano!

Atulie mpuuzi huyo, yeye ndio muasisi wa hizi siasa za kipuuzi za kumsujudia rais, saa hii kazimiwa taa analeta utoto. Kuna matatizo ya maji ya umeme, ajitose huko na wale wabunge aliowateua kipindi cha dhalimu kudai hayo mahitaji.
 
Bashiru hana lolote bali ngoa na nongwa na kutemeshwa ulaji. Ni changudoa wa kisiasa hata kama ana PhD.

Anayosema leo ni kinyume na aliyosema alipoteuliwa kwenye ulaji. Ni mnafiki na msaka tonge.
Huelewi na hutaelewa kwasababu hutaki kujishughulisha kuelewa
 
Nikama vile wakina mnyika na wenzake wa chadema walivyosema lowassa ni mwizi lakini mbowe akampa kijiti cha kuwania urais[emoji23][emoji23][emoji23]

Kwani uliona kila mtu alisifia ule ukhanithi wa Mbowe kumpa nafasi Lowassa?
 
Bashiru huyu Ambae Ni zero form six
ambaye kaingizwa udsm na kinyondo with unequalify Marks na baadae kuja KUSOMA degree yake ya Mchongo

BASHIRU Ni muhuni Sana

Hana Exposure kuhusu SIASA
Za nchi hii Tanzania.
Wivu na hasa wivu wa kike ni mbaya sana aisee

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Lakini si alisema kweli kuhusu kutumia dola au aliongea uongo.
Na hili jambo litaendelea kuligharimu taifa,Magufuri asingekubali huo upumbavu nakwambia leo bado angekuwepo lakini alimalizwa baada ya kumaliza ustaarabu wa Watanzania.
 
Hahahah Yuko kwenye ile spitali iliyomtibu subfa wetu kwa billion 26 na ushee? Na kuwa mgonjwa ngali zaidi duniani?
Hahahaha
Hospitali gharama ile balaa.

Labda subwoofer yetu iliteguka balls ikabidi zifanyiwe transplant maana nasikia za mbuzi nazo hazina tofauti na za watu🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hahahaha
Hospitali gharama ile balaa.

Labda subwoofer yetu iliteguka balls ikabidi zifanyiwe transplant maana nasikia za mbuzi nazo hazina tofauti na za watu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Za kitimoto ndio zenyewe tatizo mzigo [emoji23]
 
Watu wengi wanaamini hivyo.

Je tutajuaje kama siyo drama pendwa za CCM?
Mkuu, drama za CCM zina mshindo mkuu.
Wengi wamepita njia hiyo na baadaye wasijue kilichotokea.
Muhimu ukiongelea mambo ya kisiasa ndani ya CCM unaonngelea kuti ulilosimamia.
Kuti bichi kama uko upande uliosawa na mwenyekiti na dola, kuti kavu kama unawapinga wenye nchi.
 
Back
Top Bottom