Kauli Ile ya kutumia Dola kushika DOLA, Ule ulikuwa ULEVI.Lakini si alisema kweli kuhusu kutumia dola au aliongea uongo.
Mlevi asihukumiwe Kwa kauli za pombe Bali akiwa TIMAMU!!!!😃😃😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kauli Ile ya kutumia Dola kushika DOLA, Ule ulikuwa ULEVI.Lakini si alisema kweli kuhusu kutumia dola au aliongea uongo.
CDM wameamua kushikamana na kundi la waramba asali na Mgaso😃😃Kwa hiyo ulitaka aache kazi ili umsaidie kulisha familia yake wewe?
Kwa hiyo unataka asitowe maoni yake kisa tu hajatumiza ahadi ya kukaa kijiweni kama wewe Tindo na wenzako?
Wewe una uhalali gani ambao yeye anaukosa wa kuikosoa hiyo serikali?
Wacheni Mambo ya kuishi kwa visasi kila uchao!
Nchi hii ni ya wote,na kila mmoja anayo haki ya kusema na kushauri.
Msijifanye kuwa na hatimiliki za mawazo yetu!
Kama mnazo Busara,zitumieni ili tuyaone Mafanikio yenu,sio kukaa mkiwananga watu,kisa mko pembeni kwa miaka mitano!
Haya mnayajua leo!!? Mbona hamkumuambia kipindi cha utawala wake!!? Sipo kwenye kumtetea ila muovu ni wewe kwa kuficha uozo huu wakati unaufahamu na kusubiri mpaka aharibuBashiru huyu Ambae Ni zero form six
ambaye kaingizwa udsm na kinyondo with unequalify Marks na baadae kuja KUSOMA degree yake ya Mchongo
BASHIRU Ni muhuni Sana
Hana Exposure kuhusu SIASA
Za nchi hii Tanzania.
Dah! Bora hata wewe ulizikumbuka mkuuPopcorn shingapi?