Bashiru v/s Sponsor: Kuna dalili mtu kutema au kutemeshwa mnofu soon

Lakini si alisema kweli kuhusu kutumia dola au aliongea uongo.
Kauli Ile ya kutumia Dola kushika DOLA, Ule ulikuwa ULEVI.

Mlevi asihukumiwe Kwa kauli za pombe Bali akiwa TIMAMU!!!!πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
CDM wameamua kushikamana na kundi la waramba asali na MgasoπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Bashiru huyu Ambae Ni zero form six
ambaye kaingizwa udsm na kinyondo with unequalify Marks na baadae kuja KUSOMA degree yake ya Mchongo

BASHIRU Ni muhuni Sana

Hana Exposure kuhusu SIASA
Za nchi hii Tanzania.
Haya mnayajua leo!!? Mbona hamkumuambia kipindi cha utawala wake!!? Sipo kwenye kumtetea ila muovu ni wewe kwa kuficha uozo huu wakati unaufahamu na kusubiri mpaka aharibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…