Bashite, run quick, see…

Bashite, run quick, see…

Msimsingizie Magufuli, Bashite ni toto la mzee wa Msoga, alilizaa kwa malengo kisha akalitupa kwa JPM lionekane kama toto lake, lilipovuruga jiwe alishtuka akiwa kachelewa ila alilibwaga kwenye uchaguzi wa 2020, sasa mzee wa Msoga alichukua tena toto lake kukamilisha misheni yake.

Asomaye na fahamu.
Yani ni system ndani ya system 😂
 
Hahahaha we jamaa ulivyoandika nimecheka sana. Yaani kama vile Bashite ni toto fulani hivi linalodeka. Kiukweli JPM dakika za mwisho alionyesha kumshtukia DAB
Huo ndio ukweli mkuu.

JPM alikuwa na silika ya kutopangiwa hivyo walipomtaka alitupe hilo toto alikaza kwamba hapangiwi ila uchaguzi wa 2020 ndiyo atatumia kale ka kigezo ka RC atakayekimbilia form ya kugombea ubunge akikosa ubunge na u RC ameukosa.

Hapo ndipo alipolitupa hilo toto.
 
Come with me!

Hail Mary, Bashite, run quick, see.

What do we have here now?

Do you wanna ride or die?

La la-da-la la la la la

Mate umenikumbusha Pirelli na slogan yao ya "Power is nothing without contol".

Pale viwanja vya mpira wa kikapu UDSM mwaka 1996 tulikuwa tunabishana nami nikasema "Without Control,Power is Nothing".

Narudia tena, WITHOUT CONTROL,POWER IS NOTHING.
 
Msimsingizie Magufuli, Bashite ni toto la mzee wa Msoga, alilizaa kwa malengo kisha akalitupa kwa JPM lionekane kama toto lake, lilipovuruga jiwe alishtuka akiwa kachelewa ila alilibwaga kwenye uchaguzi wa 2020, sasa mzee wa Msoga alichukua tena toto lake kukamilisha misheni yake.

Asomaye na fahamu.
Nimecheka sana nhiiiiiiiii!
 
Msimsingizie Magufuli, Bashite ni toto la mzee wa Msoga, alilizaa kwa malengo kisha akalitupa kwa JPM lionekane kama toto lake, lilipovuruga jiwe alishtuka akiwa kachelewa ila alilibwaga kwenye uchaguzi wa 2020, sasa mzee wa Msoga alichukua tena toto lake kukamilisha misheni yake.

Asomaye na fahamu.
Duh......
 
Come with me!

Hail Mary, Bashite, run quick, see.

What do we have here now?

Do you wanna ride or die?

La la-da-la la la la la

Aisee,sijui ni mwisho wa dunia au?Jambo hili linafikirisha sana,siasa siyo uadui.
 
Alikuwa na Boss aliyemkingia kifua kwenye kila la hovyo alilolitenda. Toto pendwa kweli kweli.

Je, kwa sasa bado atakuwa na guts na jeuri za kuenenda kama awali? Tusubiri tuone..
Ushawahi kuona utawala wa mwanamke unafanya kitu cha maana hapa duniani? Kwa wababe tu wa dunia hakuna na hakujawahi kuwa na Rais mwanamke. Ni kweli, FDR in the making
 
Alikuwa na Boss aliyemkingia kifua kwenye kila la hovyo alilolitenda. Toto pendwa kweli kweli.

Je, kwa sasa bado atakuwa na guts na jeuri za kuenenda kama awali? Tusubiri tuone..
Mtu yeyote mjinga na asiye na akili na elimu kama huyu na yule mwenzake wa Hai wanaweza kufanya huu ujinga maana hawana alternatives
 
AI hakuna mvaa ushungi wala mwimba ‘takbir’ aliyeivumbua.
Usingeijuwa kompyuta ni nini bila Algorithm. Na huyu ndiye Algorithm mwenyewe:

Algorithms, Algebra & Astronomy: Muhammad ibn Musa Al-Khwarizmi​


Ever wondered who paved the way for the age of algorithms?



It was a 9th-century Muslim genius, mathematician, geographer & astronomer, Abu Abdallah Muhammad ibn Musa Al-Khwarizmi - also known as the Father of Algebra.

7335d9_e34e526af6834fbb8378ace59f3f1110~mv2.jpeg





Even the term algorithm is Al-Khwarizmi translated into Latin! The scientist and mathematician Muhammad ibn Musa Al-Khwarizmi lived from 780 to 850 AD in Persia and Iraq.

Soma zaidi: Algorithms, Algebra & Astronomy: Muhammad ibn Musa Al-Khwarizmi
 
AI hakuna mvaa ushungi wala mwimba ‘takbir’ aliyeivumbua.
Baada ya kompyuta sasa mtambuwe aliyeunda robot la kwanza duniani:


Kama hayo hayakutoshi, pata hii short clip, ujiongezee maarifa:


View: https://youtube.com/shorts/HRxGtmkQ8sA?si=y5F6K-F-kBK6GFHW
 
Come with me!

Hail Mary, Bashite, run quick, see.

What do we have here now?

Do you wanna ride or die?

La la-da-la la la la la

If loose money,you lose nothing.
If you loose your heath, you loose something.
But if you loose character,you loose everything!
 
Back
Top Bottom