technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Urais si maandazi ya kugawana msibani.Jpm kawaharibia watu wa bara kupewa nchi,ni mwendo wapwani na kusini tu
Utajua hujuiUrais si maandazi ya kugawana msibani.
Huyo " niguse ninuke wenu" mkanywe nae chai!!Utajua hujui
Japo simtetei Bashungwa ila najibu hoja yako kwani Maushungi alifanya nini cha kipekee ?Amefanya Nini cha kipekee kwa nafasi alizokwosha tumikia hadi afikiriwe kuwa anaweza kuwa Rais, all in all wananchi titamuua mda ukifika
Wahaya mwalimu aliwakataa......
INAWEZEKANA the State wamemuandaa Jamaa!Nimepewa maono kuwa Rais ajaye baada ya Samia ni Inocent Bashungwa!!
Ndoto imenionyesha jamaa akiapiswa mwaka ndio sijajua lakini maono yamesisitiza mara tatu kuwa baada ya Samia ni yeye.
Yupo anakunywa chai kweli,jiwe wenu yuko wapiHuyo " niguse ninuke wenu" mkanywe nae chai!!
Kwenda chato sio hoja hoja ni maonoMbona hukuongea hayo kabla hajaenda chato?mda mwingine ni bora kukaa kimya
Kanda ya Ziwa wakigoma nchi haitawalikiJpm kawaharibia watu wa bara kupewa nchi,ni mwendo wapwani na kusini tu