Basi kampuni ya Newforce limepata ajali Kitonga

Basi kampuni ya Newforce limepata ajali Kitonga

wakukurupuka1

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2023
Posts
525
Reaction score
1,203
Kampuni iyo ambayo imemaliza mwezi uliopita kwa mabasi yake 12 kupata ajali na kuua abiria wengi Mwezi huu wa 7 pia wameanza kwa kasi ya ajali

Leo hatimaye wamepata ajali nyingine kitonga na chanzo kikuu ni mwendokasi

Serikali wamegoma kuifungia hii kampuni

 
Kampuni iyo ambayo imemaliza mwezi uliopita kwa mabasi yake 12 kupata ajali na kuua abiria wengi Mwezi huu wa 7 pia wameanza kwa kasi ya ajali

Leo hatimaye wamepata ajali nyingine kitonga na chanzo kikuu ni mwendokasi

Serikali wamegoma kuifungia hii kampuni
Mabasi ya kampuni hiyo sio ya kupanda ni makafara.
 
Hapana. Kwani Wakinga hawapo Mbeya. Nimekupa fact. Kama hutaki acha. Simaanishi Sauli ni jina la nyakyusa. Namaanisha Sauli buses zinamilikiwa na mnyakyusa, Bw. Sauli Mwalabhila. Kijana aliyepata pesa kwa kuchimba madini kule Chunya. Ndio maana nembo yake ni sururu na spade.

Sauli mwenyewe ni mtu wa mbeya chunya yule jamaa muda mwingi anatumia bodaboda
 
Kampuni iyo ambayo imemaliza mwezi uliopita kwa mabasi yake 12 kupata ajali na kuua abiria wengi Mwezi huu wa 7 pia wameanza kwa kasi ya ajali

Leo hatimaye wamepata ajali nyingine kitonga na chanzo kikuu ni mwendokasi

Serikali wamegoma kuifungia hii kampuni
Kafara kama zote tu, 🤣🤣🤣🤣🤣🤣😅😅

Asee utajiri unatafutwa kwa shida na taabu sana
 
Back
Top Bottom