wakukurupuka1
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 525
- 1,203
Kampuni iyo ambayo imemaliza mwezi uliopita kwa mabasi yake 12 kupata ajali na kuua abiria wengi Mwezi huu wa 7 pia wameanza kwa kasi ya ajali
Leo hatimaye wamepata ajali nyingine kitonga na chanzo kikuu ni mwendokasi
Serikali wamegoma kuifungia hii kampuni
Leo hatimaye wamepata ajali nyingine kitonga na chanzo kikuu ni mwendokasi
Serikali wamegoma kuifungia hii kampuni