Basi kampuni ya Newforce limepata ajali Kitonga

Basi kampuni ya Newforce limepata ajali Kitonga

IMG_20230702_120307.jpg
 
Hivi hiyo njia hakuna mabasi mengine zaidi ya hayo,kwanini wasafiri wasiyasusie tu na kupanda kampuni nyingine mpaka wajirekebishe?watu wanakufa,watu wanapata vilema lakini wanaendelea kusafiri nayo,kutakuwa na shida mahali si bure...
Nashangaa sana pamoja na trend za ajali kwa kampuni eti aboria bado wanakimbilia huko tu
 
Kampuni iyo ambayo imemaliza mwezi uliopita kwa mabasi yake 12 kupata ajali na kuua abiria wengi Mwezi huu wa 7 pia wameanza kwa kasi ya ajali

Leo hatimaye wamepata ajali nyingine kitonga na chanzo kikuu ni mwendokasi

Serikali wamegoma kuifungia hii kampuni
Mpaka new Force iue mbunge, waziri, RPC au RTO ndio itachukuliwa hatua. Otherwise rushwa itaendelea kuua wasio na hatia.
 
Kampuni iyo ambayo imemaliza mwezi uliopita kwa mabasi yake 12 kupata ajali na kuua abiria wengi Mwezi huu wa 7 pia wameanza kwa kasi ya ajali

Leo hatimaye wamepata ajali nyingine kitonga na chanzo kikuu ni mwendokasi

Serikali wamegoma kuifungia hii kampuni
Eti"Leo hatimaye wamepata ajali nyingine"
kana kwamba hii ajali ilikuwa inasubiriwa kwa hamu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kampuni iyo ambayo imemaliza mwezi uliopita kwa mabasi yake 12 kupata ajali na kuua abiria wengi Mwezi huu wa 7 pia wameanza kwa kasi ya ajali

Leo hatimaye wamepata ajali nyingine kitonga na chanzo kikuu ni mwendokasi

Serikali wamegoma kuifungia hii kampuni
Ondoa Tochi ,Traffick wasisumbue madereva ,Dunia inaenda kisasa hizo gari nzuri sana.
 
Back
Top Bottom