wakukurupuka1
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 525
- 1,203
Mabasi ya kampuni hiyo sio ya kupanda ni makafara.Kampuni iyo ambayo imemaliza mwezi uliopita kwa mabasi yake 12 kupata ajali na kuua abiria wengi Mwezi huu wa 7 pia wameanza kwa kasi ya ajali
Leo hatimaye wamepata ajali nyingine kitonga na chanzo kikuu ni mwendokasi
Serikali wamegoma kuifungia hii kampuni
Kisa linakwenda Mbeya?Sidhani kama Sauli ni Wakinga. Sauli ni nyakyusa.
Hapana. Kwani Wakinga hawapo Mbeya. Nimekupa fact. Kama hutaki acha. Simaanishi Sauli ni jina la nyakyusa. Namaanisha Sauli buses zinamilikiwa na mnyakyusa, Bw. Sauli Mwalabhila. Kijana aliyepata pesa kwa kuchimba madini kule Chunya. Ndio maana nembo yake ni sururu na spade.Kisa linakwenda Mbeya?
Hapana. Kwani Wakinga hawapo Mbeya. Nimekupa fact. Kama hutaki acha. Simaanishi Sauli ni jina la nyakyusa. Namaanisha Sauli buses zinamilikiwa na mnyakyusa, Bw. Sauli Mwalabhila. Kijana aliyepata pesa kwa kuchimba madini kule Chunya. Ndio maana nembo yake ni sururu na spade.
PichaKampuni iyo ambayo imemaliza mwezi uliopita kwa mabasi yake 12 kupata ajali na kuua abiria wengi Mwezi huu wa 7 pia wameanza kwa kasi ya ajali
Leo hatimaye wamepata ajali nyingine kitonga na chanzo kikuu ni mwendokasi
Serikali wamegoma kuifungia hii kampuni
Kafara kama zote tu, π€£π€£π€£π€£π€£π€£π πKampuni iyo ambayo imemaliza mwezi uliopita kwa mabasi yake 12 kupata ajali na kuua abiria wengi Mwezi huu wa 7 pia wameanza kwa kasi ya ajali
Leo hatimaye wamepata ajali nyingine kitonga na chanzo kikuu ni mwendokasi
Serikali wamegoma kuifungia hii kampuni
Elewa basi unachosoma kwani NewForce ni wanyakyusa? Mbona linaenda Mbeya.Kisa linakwenda Mbeya?
Bodaboda siyo zimechukua Mbunge wetu!Sauli mwenyewe ni mtu wa mbeya chunya yule jamaa muda mwingi anatumia bodaboda
Sawa kaka wa ibilisikweli New alafu force
Kuna Bus sio za kupanda, hii ni moja wapoMadereva wa Newforce wanaendesha magari bila kuzingatia usalama wa abiria na mali wana overtake za kipuuzi sana juzi nilipanda DZU ya Tunduma yaani dreva anaendesha gari kwa fujo pasipo kuzingatia sheria
Daah tutasikia mengi kuhusu mshindani wa New forceMadereva wa Newforce wanaendesha magari bila kuzingatia usalama wa abiria na mali wana overtake za kipuuzi sana juzi nilipanda DZU ya Tunduma yaani dreva anaendesha gari kwa fujo pasipo kuzingatia sheria