Abiria ndani ya bus huwa wanachukua hatua ganiMadereva wa Newforce wanaendesha magari bila kuzingatia usalama wa abiria na mali wana overtake za kipuuzi sana juzi nilipanda DZU ya Tunduma yaani dreva anaendesha gari kwa fujo pasipo kuzingatia sheria
Ajari ni kitu cha bahati mbaya..Abiria ndani ya bus huwa wanachukua hatua gani
Ova
Magari ya Kichina sio salama. Mbona Scania za Sauli hazipati ajali?
Nashangaa sana pamoja na trend za ajali kwa kampuni eti aboria bado wanakimbilia huko tuHivi hiyo njia hakuna mabasi mengine zaidi ya hayo,kwanini wasafiri wasiyasusie tu na kupanda kampuni nyingine mpaka wajirekebishe?watu wanakufa,watu wanapata vilema lakini wanaendelea kusafiri nayo,kutakuwa na shida mahali si bure...
Duh,mbeya na boda boda hatari kubwa yaani don kama huyo anatumia boda kweli na ndio maana mbunge wa mbarali amefariki kwa ajili ya boda bodaSauli mwenyewe ni mtu wa mbeya chunya yule jamaa muda mwingi anatumia bodaboda
Mpaka new Force iue mbunge, waziri, RPC au RTO ndio itachukuliwa hatua. Otherwise rushwa itaendelea kuua wasio na hatia.Kampuni iyo ambayo imemaliza mwezi uliopita kwa mabasi yake 12 kupata ajali na kuua abiria wengi Mwezi huu wa 7 pia wameanza kwa kasi ya ajali
Leo hatimaye wamepata ajali nyingine kitonga na chanzo kikuu ni mwendokasi
Serikali wamegoma kuifungia hii kampuni
Eti"Leo hatimaye wamepata ajali nyingine"Kampuni iyo ambayo imemaliza mwezi uliopita kwa mabasi yake 12 kupata ajali na kuua abiria wengi Mwezi huu wa 7 pia wameanza kwa kasi ya ajali
Leo hatimaye wamepata ajali nyingine kitonga na chanzo kikuu ni mwendokasi
Serikali wamegoma kuifungia hii kampuni
Ondoa Tochi ,Traffick wasisumbue madereva ,Dunia inaenda kisasa hizo gari nzuri sana.Kampuni iyo ambayo imemaliza mwezi uliopita kwa mabasi yake 12 kupata ajali na kuua abiria wengi Mwezi huu wa 7 pia wameanza kwa kasi ya ajali
Leo hatimaye wamepata ajali nyingine kitonga na chanzo kikuu ni mwendokasi
Serikali wamegoma kuifungia hii kampuni