johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #61
Kamanda Muroto ameshatoa angalizo!Bwashee siku hizi umekuwa msemaji wa bawacha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamanda Muroto ameshatoa angalizo!Bwashee siku hizi umekuwa msemaji wa bawacha?
Najaribu kufikiri, definitely hawataruhusiwa kuingia viwanja vya bunge. Sasa mission Yao itakuwa accomplished vipi? Nawaunga mkono Sana, Ila practicality ya mission yao to yield the expected results or to have the message delivered ni questionable?
Best of the luck!
Wasisahau madaftari!Hii Nchi inatakiwa ifuate Katiba na Sheria BAWACHA tingeni Dodoma tuone huyo Polisi anayefanana na Mzimu atawafanya nini
View attachment 1779053
Ndugai anaiingiza Nchi kwenye Mgogoro wa Kikatiba usiokuwa wa LazimaWasisahau madaftari!
Unafikiri utatukweza kutuita sisi Wanawake? Raisi wako kwa sasa ni Bawacha.Aisee.. Ngoja nimshtue imhotep, salary slip, Bak, na bawacha wengineo wawapokee hapo dodoma.
Kama wewe mpaka leo Wajerumani na Iddi Amini angekuwa wakituchapa mijeledi kwa uoga wakoMwana kulitafuta, mwana kulipata.
Nasubiri kuskia taarifa ya habar, wangap wamejeruhiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona wazee wa mfumo dume pale chadema wamerudi nyuma na kuwatanguliza bawacha baada ya kushutumiwa kwamba wamejikita kuwaandama wake za watu.......haya ngoje tushuhudie mtifuano wa akina mama.Msafara wa Bawacha unatarajiwa kuondoka Geita kesho asubuhi kuelekea bungeni Dodoma kumshinikiza Spika Ndugai awatimue bungeni akina Halima Mdee na wenzake.
Ni msafara wa mabasi kadhaa ambapo mengine yataunga msafara njiani kama Kahama, Nzega na Singida huku Husna Said wa Chato akiongoza vuguvugu hilo.
Kazi Inaendelea!
Ulisikia wapi ukihukumiwa na ukakata rufaa unatolewa kifungoni kabla ya rufaa kusikiliza?Hii sasa ndiyo timu utopolo, mwenyekiti katoa baraka zake?? Au ndiyo madhara ya smart gin??
Tunasubiria rufaa waliyoikata je, imesikilizwa?? Je, na majibu yametolewa au vijana wameamua kutumika vibaya??
Kuna baadhi ya mambo upinzani, wanakosea ama kwa makusudi ama bahati mbaya.
Everyday is Saturday............................... 😎
Bawacha wanatafuta kiki
Ndugai anashida basi mkuuYote haya yamesababishwa na ndugai...
Siyo UWT?Unafikiri utatukweza kutuita sisi Wanawake? Raisi wako kwa sasa ni Bawacha.
Bawacha njaa kali sasa hivi madanga yao yote yalipigwa chini kwenye uchaguzi uliopita,!Ajira za Ualimu zimetoka jamani au Bawacha hamkwenda shule ndio maana mmekalia SIASA tu.
Kweni Raisi kupaka Mkorogo ni ZambiSiyo UWT?