Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majeruhi wote Mwenyezi Mungu awajaarie ahueni mpone salama saliminiUpdates soon!View attachment 2297736
Updates soon!View attachment 2297736
Scania gani hiyo na ukumbwa wote limeangushwa na bus tena la mchina!
Dereva wa Scania kaitoa nje,hapo bus imegongwa kidogo na contena bila hivyo madhara yangekuwa makubwaScania gani hiyo na ukumbwa wote limeangushwa na bus tena la mchina!
akitoka hapo huyo hafi leo wala kesho aiseeeSad news, sijui kama dereva ametoka hapo. Pole kwa majeruhi.
... dereva wa lori/Scania kacheza kama Pele vinginevyo angewamaliza! Angalia position ya bus utaona limelifuata lori - overtaking za pupa kama kawaida ya madereva wa mabasi!Scania gani hiyo na ukumbwa wote limeangushwa na bus tena la mchina!
🙏... dereva wa lori/Scania kacheza kama Pele vinginevyo angewamaliza! Angalia position ya bus utaona limelifuata lori - overtaking za pupa kama kawaida ya madereva wa mabasi!
Ni kama vile Morogoro, Pwani au Tanga naona mikonge kwa mbaliiiiii!!!Wapi huko mkuu? Dah!
Nilitaka kupita bila kukoment ila ni hivi; "hata mimi nimeshangaa aseee, yaani scania kudondoshwa kirahisi hivyo!!"Scania gani hiyo na ukumbwa wote limeangushwa na bus tena la mchina!
Scani haijadondoshwa kaka; katika harakati za kumkwepa huyo mpuuzi wa basi aliyemfuata kwenye site yake; katoa lori nje ya barabara likaishia kudondoka. Kacheza kiume mno kuepusha maafa makubwa.Nilitaka kupita bila kukoment ila ni hivi; "hata mimi nimeshangaa aseee, yaani scania kudondoshwa kirahisi hivyo!!"
Nasikia hajafa ila amevunjika mguuSad news, sijui kama dereva ametoka hapo. Pole kwa majeruhi.