Basi la Happy Nation lapata ajali kwa kugongana na lori uso kwa uso

Basi la Happy Nation lapata ajali kwa kugongana na lori uso kwa uso

Updates soon!

Abiria 41 waliokuwa wakisafiri na basi la Happy Nation wakitokea Dar es Salaam kuelekea Mwanza, wamenusurika katika ajali baada ya basi lao kugongana uso kwa uso na lori aina ya Scania katika eneo la Mkambarani, mkoani Morogoro.

View attachment 2297759
View attachment 2297742
pole hata kwa waliyopata mshtuko.Lakini vipi dereva na abiria wa mbele kwa hali hi wametoka salama,?
 
Ni kama vile Morogoro, Pwani au Tanga naona mikonge kwa mbaliiiiii!!!
Mkuu
Umeambiwa Mkambalani Ambayo Ipo Morogoro
Yaani Hapo Ni Jirani Kufika Msamvu Maana Ilikuwa Imebaki
Kingolwira , Cate Hotel, Tungi, Nane Nane, Msamvu
 
Ajali inayotokana kugongangana uso kwa uso...maana yake hapo kuna mmoja alikuwa anataka ku overtake gari!

Ova
To put it clear; kuna mmoja alitoka kwenye site yake; whether overtaking, kukwepa kitu; or such other reasons.
 
Mkuu
Umeambiwa Mkambalani Ambayo Ipo Morogoro
Yaani Hapo Ni Jirani Kufika Msamvu Maana Ilikuwa Imebaki
Kingolwira , Cate Hotel, Tungi, Nane Nane, Msamvu
Sawa ila kule mwanzo ziliwekwa picha tu bila maelezo na ndipo member mmoja akauliza ni wapi?
Nilijibu nilivyojibu

Rejea hii👇

Updates soon!

Abiria 41 waliokuwa wakisafiri na basi la Happy Nation wakitokea Dar es Salaam kuelekea Mwanza, wamenusurika katika ajali baada ya basi lao kugongana uso kwa uso na lori aina ya Scania katika eneo la Mkambarani, mkoani Morogoro.
 
Nilitaka kupita bila kukoment ila ni hivi; "hata mimi nimeshangaa aseee, yaani scania kudondoshwa kirahisi hivyo!!"
itakuwa alijaribu kuokoa maisha yake na katika kulikwepa ndio akapoteza mwelekeo, kukutana uso kwa uso sio ujanja. rejea ile ajali ya morogoro ilivyoondoa watu wengi.
 
To put it clear; kuna mmoja alitoka kwenye site yake; whether overtaking, kukwepa kitu; or such other reasons.
Mabasi 2 yalikuwa yana overtake magari

Ova
 
Updates soon!

Abiria 41 waliokuwa wakisafiri na basi la Happy Nation wakitokea Dar es Salaam kuelekea Mwanza, wamenusurika katika ajali baada ya basi lao kugongana uso kwa uso na lori aina ya Scania katika eneo la Mkambarani, mkoani Morogoro.

View attachment 2297759
View attachment 2297742
Said mwema IGP mstaafu alisha ondoa share zake huko .mabasi ya kampuni hii yamakosa uelekeo
 
Yaani happy nation kwakweli wanaendesha hovyo Sana tar 11 nimepanda happy nation kuja Mwanza aisee nashukuru Mungu nilifika salama lakini dereva yule anaendesha gari vibaya sana anaovertake ovyoovyo anakoswakoswa kugongwa yaani tafrani tupu. abiria walilalamika mpaka wakachoka[emoji1]
Madereva wengi ni wehu.
 
TanPol kitengo cha Usalama Barabarani inabidi waanzishe tuzo kwa madereva kama huyo wa hilo lori.
Kama kuna adhabu kwa watendao makosa,basi kuwe na pongezi kwa waepushao ajali.
 
Scani haijadondoshwa kaka; katika harakati za kumkwepa huyo mpuuzi wa basi aliyemfuata kwenye site yake; katoa lori nje ya barabara likaishia kudondoka. Kacheza kiume mno kuepusha maafa makubwa.
Sasa unanigombeza ili iweje?.

Mtoa habari hajatoa kwa undani unataka niandike kitu gani, akili iwe inawaza siyo kuwahia!!.
 
TanPol kitengo cha Usalama Barabarani inabidi waanzishe tuzo kwa madereva kama huyo wa hilo lori.
Kama kuna adhabu kwa watendao makosa,basi kuwe na pongezi kwa waepushao ajali.
... uko sahihi; kuna roho nyingi zingepotea pale kama sio dreva wa lori kutenda jambo sahihi kwa wakati sahihi. Anastahili pongezi nyingi sana na kazawadi fulani. Ikiwezekana mabao yote ya trafiki kwa wiki hii kati ya Chalinze na Morogoro azawadiwe huyo dereva.
 
Traffic Polisi acheni kuleta taharuki kwa kufufua Thread zilizopita
 
Back
Top Bottom