Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Kikosi cha timu ya soka ya JKT Tanzania, kimepata ajali baada ya basi lililowabeba kuacha njia na kuanguka mtaroni majira ya saa 1:00 asubuhi leo na kusababisha maumivu kwa baadhi ya wachezaji na wafanyakazi wengine.
Basi hilo limepata ajali likiwa linatokea jijini Dodoma kucheza mechi ya NBC Premier League dhidi ya Dodoma Jiji
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na klabu hiyo, miongoni mwa wachezaji waliopata maumivu ni pamoja na John Bocco, Dany Lyanga Said Ndemla, Hassan Dilunga na Maka Edward.
Timu inakabiliwa na mechi ya ligi dhidi ya Simba SC, Jumanne Oktoba 29, saa 10:15 jioni, katika Uwanja wa KMC
Basi hilo limepata ajali likiwa linatokea jijini Dodoma kucheza mechi ya NBC Premier League dhidi ya Dodoma Jiji
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na klabu hiyo, miongoni mwa wachezaji waliopata maumivu ni pamoja na John Bocco, Dany Lyanga Said Ndemla, Hassan Dilunga na Maka Edward.
Timu inakabiliwa na mechi ya ligi dhidi ya Simba SC, Jumanne Oktoba 29, saa 10:15 jioni, katika Uwanja wa KMC