macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Ajali ziko ambazo siyo mbaya, mbaya, na mbaya sana.Hivi kumbe Kuna kuwaga na ajali nzuri.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ajali ziko ambazo siyo mbaya, mbaya, na mbaya sana.Hivi kumbe Kuna kuwaga na ajali nzuri.....
inashangaza sanaHivi kumbe Kuna kuwaga na ajali nzuri.....
We umejuaje kama nilikuwa naishia ndani ya Tanzania?Acha uongo, haichukui abiria wanaoshukia ndani ya Tanzania.
Hivi kumbe Kuna kuwaga na ajali nzuri..
Kuna 'Bad', 'Worse' and 'Worst'Hivi kumbe Kuna kuwaga na ajali nzuri.....
si uliambiwa lakini picha zinaogopesha au ulijua utani 🤣Bora nisingeview masikini 😓😓😢
leo tu hiyo serenje hyo ajali inasadikika ya 4.Bara bara kutoka Kapiri Mposhi mpaka Isoka ni nyembamba sana aisee na hilo eneo la Serenje ni eneo hatari sana kwa ajali...hawa jamaa wakitaka kufanya safari zao wapite Malawi sio Zambia huko bara bara yao nyembamba harafu wazee wa Truck wanajisahau sana..
hii nyingine imetokea leo. ile ilipigwa ubavu hii uso kwa uso.Hii ajali ya muda chief.
Pole sana, Mungu awaponye majeruhi na kuwafariji wafiwa!!!Duh poleni wafiwa
Zipo unakuta kagari tu kamesusa kameacha njia. Wanakabembeleza kanakubali wanakapiga reverse kanaingia road watu wanaendelea na safari.Hivi kumbe Kuna kuwaga na ajali nzuri.....
Wapumzike kwa amanihii imetokea leo huko Zambia. ilikuwa inatoka South Africa kuja DAR. tahadhari picha zinaogopesha
View attachment 2853838
Umbea umeniponza😒si uliambiwa lakini picha zinaogopesha au ulijua utani 🤣
Watu wengi sasa hivi wanakifika Lusaka wanaitafuta Malawi ukifika Mzuzu unakua ushafika karibu na Songwe huko Serenje maroli mengi mno harafu wanaendesha katikati ya bara bara imeumiza sana hii ajali aisee watu wengi walikua wanarudi home..leo tu hiyo serenje hyo ajali inasadikika ya 4.